Je hii 300 x 150 x 100 inayouzwa TZS 500/= ni sehemu gani ya tofali la kawaida la Block linalouzwa TZS 800/=??Kuhusu gharama za tofali hizi naona kama hazina bei ambayo ni constant, kuna wengine jimeona wanaziuza 500 kwa tofali moja lenye ukubwa wa 300mm x 150mm x 100m, gharama za udongo na cement ikiwa juu yao wewe unafyetuliwa tofali zako hapohapo site
Nashukuru sana nimeanza kupata mwanga, kama bei ni 500 it's reasonable ukizingatia unaokoa gharama za exterior finishing na hata ukipenda interior bado inapendeza sana.Ndio, sio kila udongo unafaa, kama nilikueleza hapo juu udongo unaotakiwa ni wenye mchanganyiko wa sand ya 50 to 70 % . Ndio maana nikasema kabla ya kutumia huo udongo kufyetua tofali angali kama composition ya sand katika huo udongo unarange katika hizo asilimia 50 mpaka 70...
Mkuu kama unawafahamu share nasi ulichojifunza. Ugumu upo kwenye kumpata mtu anayefahamu huu ujenzi kiundaniWataalamu wake wanasema udongo mfinyanzi ndo unaofaaa
Ni Dar? Ni sehemu gani? Naomba kujuaNdio, sio kila udongo unafaa, kama nilikueleza hapo juu udongo unaotakiwa ni wenye mchanganyiko wa sand ya 50 to 70 % . Ndio maana nikasema kabla ya kutumia huo udongo kufyetua tofali angali kama composition ya sand katika huo udongo unarange katika hizo asilimia 50 mpaka 70...
Ndio nimeona Instagram kuna jamaa wanajiita ujenzi empire wachekiNi Dar? Ni sehemu gani? Naomba kujua
Mkuu sijajua, ila tofali zile nyepesi kwa mahali nilipo zinauzwa around 850.Je hii 300 x 150 x 100 inayouzwa TZS 500/= ni sehemu gani ya tofali la kawaida la Block linalouzwa TZS 800/=??
Shukrani sanaNdio nimeona Instagram kuna jamaa wanajiita ujenzi empire wacheki
Mkuu kama unawafahamu share nasi ulichojifunza. Ugumu upo kwenye kumpata mtu anayefahamu huu ujenzi kiundani
So kwa ndani ya nyumba hakuna haja ya kupiga plaster?Interlock kwa mujibu wa mtaalamu fulani aliniambia wanatumia udongo wenye asili ya ufinyanzi kwa kuchanganya na cement udongo huo hupimwa maabara kwanza kabla ya kufanyiwa kazi.
Ni tofali ngumu na hukaa/hudumu kwa muda mrefu kuliko block
Zinahimili hali ya hewa na majanga ya tetemeko lakini pia ikitokea unahama unaweza kuhama nazo kwa kufumua nyumba bila shida na kuzijenga upya sehemu nyingine.
Mwisho wenyewe wanasema zina gharama ndogo kwa sababu hazihitaji plasta so cement hutotumia ila kuangalia kiundani hazipishani sanaaaa.... Gharama ya cement inafidiwa kwenye tofali, zitahitaji polish yake pia kila muda fulani.
Ni hayo tu
Unaweza usipige ila kua polish hua wanapakaSo kwa ndani ya nyumba hakuna haja ya kupiga plaster?
Ni tofali nzuri sana hizi, nyumba inavutia na inakuwa unique. Kenya wanaifanya sana hii kazi sijui tufuate mafundi huko? halafu tukiwaleta tz makandarasi wanaanza kulalamika, hili ni jukwaa la ujenzi na kila siku zinakuja post za kuuza ramani nk ila swala hili wengi tuna interest lakini hakuna msaada wowote kutoka kwa wataalamInterlock kwa mujibu wa mtaalamu fulani aliniambia wanatumia udongo wenye asili ya ufinyanzi kwa kuchanganya na cement udongo huo hupimwa maabara kwanza kabla ya kufanyiwa kazi.
Ni tofali ngumu na hukaa/hudumu kwa muda mrefu kuliko block
Zinahimili hali ya hewa na majanga ya tetemeko lakini pia ikitokea unahama unaweza kuhama nazo kwa kufumua nyumba bila shida na kuzijenga upya sehemu nyingine.
Mwisho wenyewe wanasema zina gharama ndogo kwa sababu hazihitaji plasta so cement hutotumia ila kuangalia kiundani hazipishani sanaaaa.... Gharama ya cement inafidiwa kwenye tofali, zitahitaji polish yake pia kila muda fulani.
Ni hayo tu
Ukipiga ile polish tofali inawaka kama kigae au utafikiri umebandika 3D pictureUnaweza usipige ila kua polish hua wanapaka
Vipi likitokea kwa mfano tetemeko la ardhi zina ustahimilivu ukoje?Ninachopendea baadhi ya design za interlocking blocks ni kwamba zina mwonekano mzuri, hata bila finishing inapendeza.
Pia ukiwa na tofali za kutosha, hata wiki mbili haziishi nyumba unahamia.
Zaidi ya hayo, zinapunguza sana drama za fundi ujenzi na zinasaidia makisio sahihi ya ujenzi wa Boma
Tofari moja la interlocking kwa haapa dar ni TZS. 500. na hizi tofari zinatumika baada ya kujenga msingi wa tofari za kawaidaUjafikiria gharama za kulifytua tofali moja la interlocking.
Utalia kilio Cha kusaga meno
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivipi? Interlock block ni @ TZS. 500, Block za kawaida ni @ TZS. 900 - 1,200Anayejengea hizo tofali MUHESHIMU
Kivipi? Interlock block ni @ TZS. 500, Block za kawaida ni @ TZS. 900 - 1,200
Ndg watafute Ujenzi Empire kwa no. 0716 023 456, pia ingia instagram "interlocking_bricks" utapata maelezo yote,Nimesubiri majibu kitambo sana kuhusu gharama za tofali na ujenzi. Ninataka kujenga eneo ambalo lina udongo mzuri wa kufyatulia. Kama kuna wafyatuaji, Je bei ni kiasi gani kwa tofali, kama tatizo ni mashine naweza kugharamia kukodi au kununua.
Ukitoka Mlimani city kwenda Mwenge baada ya petrol station ya Oil com kuna kiwanda cha Serikali/Wizara ya ujenzi hizo tofari zimejaa tele unabeba tu bei ni TZS. 500 kwa moja au wapigie Ujenzi empire 0716 023 456 karibuHyo bei ya wapi? Namaanisha dar au mkoa kwingine?.
Usije ukafananisha bei na Yale matofali ya kuchoma
Hiyo ni kwa hapa Dar es Salaam mikoani sifahamuUkitoka Mlimani city kwenda Mwenge baada ya petrol station ya Oil com kuna kiwanda cha Serikali/Wizara ya ujenzi hizo tofari zimejaa tele unabeba tu bei ni TZS. 500 kwa moja au wapigie Ujenzi empire 0716 023 456 karibu