Ujenzi Mkubwa unaoendelea Kigamboni(Dege Eco Village), ni mradi wa nani?

Ujenzi Mkubwa unaoendelea Kigamboni(Dege Eco Village), ni mradi wa nani?

Kwa kuelewa haraka haraka tu nadhani NSSF na hao Azimio kila mtu alitoa share hapo....sasa kilichotokea mpaka sasa naonaa bado haieleweki kabisaaaa...
 
Hivi ulikuwa mradi wa serikali?

Kwa kuelewa haraka haraka tu nadhani NSSF na hao Azimio kila mtu alitoa share hapo....sasa kilichotokea mpaka sasa naonaa bado haieleweki kabisaaaa...
 
Kwa kuelewa haraka haraka tu nadhani NSSF na hao Azimio kila mtu alitoa share hapo....sasa kilichotokea mpaka sasa naonaa bado haieleweki kabisaaaa...
Ni taasisi gani ilinunua eka moja kwa mamilioni ya fedha mitaa ya Kigamboni?
 
Ni taasisi gani ilinunua eka moja kwa mamilioni ya fedha mitaa ya Kigamboni?

Hahahaha mkuu wangu Malila nnashindwa hata kuandika maana hawachelewi hawa hawa jamaa na sheria zao za mtandao...maswali yako mazuri sana,ni deal tu ila naonaa walikataaa....nimesikitika sanaa ule mradi kusimama aiseeee.....
 
Hahahaha mkuu wangu Malila nnashindwa hata kuandika maana hawachelewi hawa hawa jamaa na sheria zao za mtandao...maswali yako mazuri sana,ni deal tu ila naonaa walikataaa....nimesikitika sanaa ule mradi kusimama aiseeee.....
Angalia kucha zako.
 
Kwahiyo maeneo yamekuwa adimu kiasi cha NSSF kwenda kumwaga pesa kwenye kiwanja cha mtu? Kigamboni imekuwa posta au Kariakoo?
 
Jf namkubali Sana baada ya Mola, wazazi wangu then jf before and after sleeping I must browse jf daily even during working hrs
 
Back
Top Bottom