Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo waweza kurejea rasmi hivi karibuni

Usiache mbachao kwa msala upitao. Hamadi iliyo kibindoni. Tamaa mbele mauti nyuma. Dudu liumalo usilipe dole.
 
Kujenga kwanza reli kabla ya bandari ni sawa na mtu kulivuta mkokoteni huku akiwa mbele ya mkokoteni anaouvuta[emoji3]
 
our brother in exile, we wish you well.
 
Ulikuwemo bungeni wakati mradi huo unapitishwa. Uligonga meza kupiga ukelele ndiyoooooooo. Halafu sasa ndiyo unataka kutuzuga Watanzania kwamba tumechezewa mno! Kama vile hukuwemo Bungeni wakati. Bunge linaupitisha mradi huo. UNAFIKI uliokubuhu.
Wakati unapatishwa bungeni kulikua na mkataba? Kwamba wabunge waliupitia mkataba pamoja na masharti yake halafu wakapitisha. Ficha upumbavu wako unatia aibu, hujui hata mihimili ya Serikali inafanyaje kazi unaleta ushabiki
 
Sasa wew hasa tatizo lako nini . We rudi burundi kwenu . Ujinga wa watu kama nyie mnakuwa na ghubu kama wa mtu na mkewe kwenye mambo ya nchi. Hamuelewi hata maana ya siasa. Watz mitandaoni kila kitu mnajua. Mpira ungechezwa huku tungekuw mabingwa wa kombe la dunia. Differentiate between real life and your ideal one .
..tatizo huwa mnabana halafu mnapanua pakubwa.

..mfano ni yale makelele ya madai ya usd 191 billion halafu mnakuja kukubali usd 300 million.
 
Cc

Jingalao, Wakudadavua, Karlo, et al
 
Mbona povu jingi mkuu?. Jiwe hili la gizani limekupata pabaya nn?
 
Wamepita tena mlango wa nyuma,,,,,,
Uwiiiiiiiiiii
 
Mmeanza kubadili lugha? Mnatufanya hamnazo, sio?

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…