KERO Ujenzi wa barabara ya Njombe -Ludewa ukamilike kwa wakati ili kuepusha usumbufu wa muda mrefu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Joined
Jan 3, 2024
Posts
26
Reaction score
25
Serikali imuhimize mkandarasi anayesimamia ujenzi wa barabara ya Njombe-Ludewa ikamilike kwa wakati ili kuepusha usumbufu wa muda mrefu kwa wananchi wanaotumia barabara hiyo muhimu kwa maendeleo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…