A
Anonymous
Guest
Naipongeza Serikali kwa ujenzi wa barabara hii. Changamoto iliyopo ni kuwa Mkandarasi anayejenga barabara ya Safina Olasiti hadi Morombo hajaweka alama ambazo zinawataka/kuelekeza watumiaji wa barabara kutumia njia mbadala.
Hili linasabisha usumbufu kwa watumiaji wa barabara/njia hizo.
Pia barabara/njia ambazo watumiaji wanalazimika kutumia zimeharibika hasa kipindi hiki cha mvua.
Tunaomba Mkandarasi aelekezwe kuweka vibao elekezi na kurekebishwa barabara/njia mbadala ili kuepuka usumbufu kwa wananchi.
Mkazi wa Olasiti Arusha.
Hili linasabisha usumbufu kwa watumiaji wa barabara/njia hizo.
Pia barabara/njia ambazo watumiaji wanalazimika kutumia zimeharibika hasa kipindi hiki cha mvua.
Tunaomba Mkandarasi aelekezwe kuweka vibao elekezi na kurekebishwa barabara/njia mbadala ili kuepuka usumbufu kwa wananchi.
Mkazi wa Olasiti Arusha.