Yuyo Ahumile Shamalendi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 993
- 785
Wadau habari,
Moja kwa moja kwenye maada, serikali mara kwa mara imekua ikiongelea kuhusu ujenzi wa bomba la mafuta kutoka nchini Uganda, lakin mpaka sasa hivi haijulikani kama washaanza kazi ya ujenzi au la! Jamani mwenye taarifa aje atuhabarishe kama wameshaanza na ni wapi walikoanza au wanakoendelea.
Moja kwa moja kwenye maada, serikali mara kwa mara imekua ikiongelea kuhusu ujenzi wa bomba la mafuta kutoka nchini Uganda, lakin mpaka sasa hivi haijulikani kama washaanza kazi ya ujenzi au la! Jamani mwenye taarifa aje atuhabarishe kama wameshaanza na ni wapi walikoanza au wanakoendelea.