Ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere nini kinaendelea? Na kati ya awamu ya tano na sita ipi inasema ukweli?

Ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere nini kinaendelea? Na kati ya awamu ya tano na sita ipi inasema ukweli?

nyboma

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2021
Posts
2,308
Reaction score
7,366
Bila shaka wakati Mh. Raisi Samiah Suluhu Hassan akipokea ripoti ya TAKUKURU na CAG na ulipofika wakati wa yeye kuzichambua ripoti zile nimemsikia kwa masikio yangu mawili ya kwamba “Mradi wa ufuaji umeme wa bwawa la Mwalimu Nyerere” utakamilika mnamo mwaka 2024 ama zaidi ya hapo.

Nikirudi nyuma nakumbuka waziri wa Nishati kabla ya kuondolewa katika nafasi hiyo mbunge wa chato Dk Medard Kalemani alisema ” Bwawa la kufua umeme wa megawati 2,115 wa Julius Nyerere (JNHPP) litaanza kujazwa maji kuanzia Novemba 15, mwaka huu na hadi kufikia Aprili 15, 2022 litakuwa limejazwa ili mwezi mmoja baadaye umeme uanze kufuliwa kutoka kwenye bwawa hilo.”

Kwa ufupi tungetegemea kupata umeme kutoka katika bwawa hilo mwezi wa tano mwaka huu.

Wajuzi wa mambo mnaweza niambia ni kitu gani hasa kilipelekea bwawa lile kutokujazwa maji ndani ya muda uliopangwa? Na kwanini hadi 2024?

Pili kati ya serikali ya Mama yetu Samiah Suluhu Hassani na Ile ya Mpendwa wetu Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ni ipi inasema ukweli? Maana naona zinapingana waziwazi ilihali Mama yetu huyu ambaye kwa sasa ndio Raisi wetu alikuwa msaidizi wa Magufuli na alikuwa akifahamu kila kitu kinachojiri katika ujenzi wa bwawa lile.

Ama tuseme ndio Mama keshawekwa kati na mtoto wa mjini (mzee wa smile) na genge lake ili kuupotezea mradi ule na kurudi kulekule kwenye kukodi mitambo ya kufua umeme ili wajilipe mabilioni ya fedha za wananchi kwa kutuuzia umeme?

Nawasilisha.
 
Nchi ya porojo hii na serekali inayoongozwa na asiwye na uwezo
 
tumepigwa!


awamu ile ya bwana yule mambo yalikuwa transparent (sio kwa asilimia zote)

lakini sahivi ni changa la macho au tuseme mazingaombwe ndo tutayaona sana.
 
Bila shaka wakati Mh. Raisi Samiah Suluhu Hassan akipokea ripoti ya TAKUKURU na CAG na ulipofika wakati wa yeye kuzichambua ripoti zile nimemsikia kwa masikio yangu mawili ya kwamba “Mradi wa ufuaji umeme wa bwawa la Mwalimu Nyerere” utakamilika mnamo mwaka 2024 ama zaidi ya hapo.

Nikirudi nyuma nakumbuka waziri wa Nishati kabla ya kuondolewa katika nafasi hiyo mbunge wa chato Dk Medard Kalemani alisema ” Bwawa la kufua umeme wa megawati 2,115 wa Julius Nyerere (JNHPP) litaanza kujazwa maji kuanzia Novemba 15, mwaka huu na hadi kufikia Aprili 15, 2022 litakuwa limejazwa ili mwezi mmoja baadaye umeme uanze kufuliwa kutoka kwenye bwawa hilo.”

Kwa ufupi tungetegemea kupata umeme kutoka katika bwawa hilo mwezi wa tano mwaka huu.

Wajuzi wa mambo mnaweza niambia ni kitu gani hasa kilipelekea bwawa lile kutokujazwa maji ndani ya muda uliopangwa? Na kwanini hadi 2024?

Pili kati ya serikali ya Mama yetu Samiah Suluhu Hassani na Ile ya Mpendwa wetu Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ni ipi inasema ukweli? Maana naona zinapingana waziwazi ilihali Mama yetu huyu ambaye kwa sasa ndio Raisi wetu alikuwa msaidizi wa Magufuli na alikuwa akifahamu kila kitu kinachojiri katika ujenzi wa bwawa lile.

Ama tuseme ndio Mama keshawekwa kati na mtoto wa mjini (mzee wa smile) na genge lake ili kuupotezea mradi ule na kurudi kulekule kwenye kukodi mitambo ya kufua umeme ili wajilipe mabilioni ya fedha za wananchi kwa kutuuzia umeme?

Nawasilisha.
Bwawa ya Nyerere inaidai serikali 19b. Kwa kukata kata umeme toka January 2020 hadi November 2020.

So lazima shughuli zisimame kwanza mpaka itakapolipwa fedha hizo. Hii ni ajabu ya Dunia.....
IMG-20220330-WA0028.jpg
 
Kiongozi na serikali wanaonesha namna gani walivyofail katika nyaja za kukuza uchumi au maendeleo
 
Bila shaka wakati Mh. Raisi Samiah Suluhu Hassan akipokea ripoti ya TAKUKURU na CAG na ulipofika wakati wa yeye kuzichambua ripoti zile nimemsikia kwa masikio yangu mawili ya kwamba “Mradi wa ufuaji umeme wa bwawa la Mwalimu Nyerere” utakamilika mnamo mwaka 2024 ama zaidi ya hapo.

Nikirudi nyuma nakumbuka waziri wa Nishati kabla ya kuondolewa katika nafasi hiyo mbunge wa chato Dk Medard Kalemani alisema ” Bwawa la kufua umeme wa megawati 2,115 wa Julius Nyerere (JNHPP) litaanza kujazwa maji kuanzia Novemba 15, mwaka huu na hadi kufikia Aprili 15, 2022 litakuwa limejazwa ili mwezi mmoja baadaye umeme uanze kufuliwa kutoka kwenye bwawa hilo.”

Kwa ufupi tungetegemea kupata umeme kutoka katika bwawa hilo mwezi wa tano mwaka huu.

Wajuzi wa mambo mnaweza niambia ni kitu gani hasa kilipelekea bwawa lile kutokujazwa maji ndani ya muda uliopangwa? Na kwanini hadi 2024?

Pili kati ya serikali ya Mama yetu Samiah Suluhu Hassani na Ile ya Mpendwa wetu Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ni ipi inasema ukweli? Maana naona zinapingana waziwazi ilihali Mama yetu huyu ambaye kwa sasa ndio Raisi wetu alikuwa msaidizi wa Magufuli na alikuwa akifahamu kila kitu kinachojiri katika ujenzi wa bwawa lile.

Ama tuseme ndio Mama keshawekwa kati na mtoto wa mjini (mzee wa smile) na genge lake ili kuupotezea mradi ule na kurudi kulekule kwenye kukodi mitambo ya kufua umeme ili wajilipe mabilioni ya fedha za wananchi kwa kutuuzia umeme?

Nawasilisha.
Awamu ya mzanzibar imejaa maneno mengi, vitendo F
 
Bila shaka wakati Mh. Raisi Samiah Suluhu Hassan akipokea ripoti ya TAKUKURU na CAG na ulipofika wakati wa yeye kuzichambua ripoti zile nimemsikia kwa masikio yangu mawili ya kwamba “Mradi wa ufuaji umeme wa bwawa la Mwalimu Nyerere” utakamilika mnamo mwaka 2024 ama zaidi ya hapo.

Nikirudi nyuma nakumbuka waziri wa Nishati kabla ya kuondolewa katika nafasi hiyo mbunge wa chato Dk Medard Kalemani alisema ” Bwawa la kufua umeme wa megawati 2,115 wa Julius Nyerere (JNHPP) litaanza kujazwa maji kuanzia Novemba 15, mwaka huu na hadi kufikia Aprili 15, 2022 litakuwa limejazwa ili mwezi mmoja baadaye umeme uanze kufuliwa kutoka kwenye bwawa hilo.”

Kwa ufupi tungetegemea kupata umeme kutoka katika bwawa hilo mwezi wa tano mwaka huu.

Wajuzi wa mambo mnaweza niambia ni kitu gani hasa kilipelekea bwawa lile kutokujazwa maji ndani ya muda uliopangwa? Na kwanini hadi 2024?

Pili kati ya serikali ya Mama yetu Samiah Suluhu Hassani na Ile ya Mpendwa wetu Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ni ipi inasema ukweli? Maana naona zinapingana waziwazi ilihali Mama yetu huyu ambaye kwa sasa ndio Raisi wetu alikuwa msaidizi wa Magufuli na alikuwa akifahamu kila kitu kinachojiri katika ujenzi wa bwawa lile.

Ama tuseme ndio Mama keshawekwa kati na mtoto wa mjini (mzee wa smile) na genge lake ili kuupotezea mradi ule na kurudi kulekule kwenye kukodi mitambo ya kufua umeme ili wajilipe mabilioni ya fedha za wananchi kwa kutuuzia umeme?

Nawasilisha.
Umeambiwa wamesharudi wapigaji huelewi?
 
Tatizo sio awamu, tatizo ni CCM.
CCM ni ile ile. Wezi na matapeli wakubwa

Toka tulivyotapeliwa gesi ya Mtwara, kisha gari zetu za Noah kutoka kwenye chengi ya makinikia, mpaka kesho sitaweza kuwaamini wanasiasa wa CCM.
 
Yaani kama sheria zetu zingekuwa sawa yule jamaa alitakiwa awe ndani mda huu katuharibia sana nchi halafu akaongoza mkakati wa kumuondoa ngosha madarakani.
 
Back
Top Bottom