Ujenzi wa bwawa la Thwake wafikia asilimia 37%. Ujenzi waendelea kwa kasi

Ujenzi wa bwawa la Thwake wafikia asilimia 37%. Ujenzi waendelea kwa kasi

Olliver Seid

Member
Joined
May 12, 2017
Posts
51
Reaction score
125
Bwawa la Thwake ambalo litasambaza maji kwa mji wa kiteknolojia wa Konza City. Bwawa hilo pia litatumiwa kama chanzo cha maji utakaotumikia mradi wa kilimo wa unyunyizaji maji katika shamba lililo na ukubwa wa ekari laki moja.

FB_IMG_15932851917289925.jpg
FB_IMG_15932851701066235.jpg
FB_IMG_15932851237645599.jpg
FB_IMG_15932850752763408.jpg
FB_IMG_15932848981357962.jpg
FB_IMG_15932848893746181.jpg
FB_IMG_15932847388955561.jpg
FB_IMG_15932846244146000.jpg
 
Duh! Kwa hili bwawa itakua bao la kweli, yaani shamba ekari laki moja, na pia kuhakikisha uwepo wa maji mji wa Konza, Wakenya jameni tuendelee tu hivi, Afrika hii hadi raha.
 
Duh! Kwa hili bwawa itakua bao la kweli, yaani shamba ekari laki moja, na pia kuhakikisha uwepo wa maji mji wa Konza, Wakenya jameni tuendelee tu hivi, Afrika hii hadi raha.
Haijafikia ata Robo ya hii...Kama unabisha type capacity..achen hizo blah blah za kumwagilia sijui ekari ngapi...cos if ur doing drip irrigation only 1000 L are enough for that ekari
IMG_20200628_215255.jpg
 
Ata sikuwa najua if kuna dame inajengwa inayoitwa Thwake

Yaani imekua vigumu kufuatilia hii miradi, kila siku ghafla tunashtukizwa na bonge la limradi duh!
Hili bwawa balaa sana litafanya makubwa....
 
Haijafikia ata Robo ya hii...Kama unabisha type capacity..achen hizo blah blah za kumwagilia sijui ekari ngapi...cos if ur doing drip irrigation only 1000 L are enough for that ekariView attachment 1491779
Hii ng'ombe inajaribu kulinganisha dam na tank ya lita milioni kumi. Wewe chizi wa Dar unajua dam ni nini? Kumbe sisi Wakenya tunapoteza muda wetu kudebate na watu wajinga hivi?
 
Hii ng'ombe inajaribu kulinganisha dam na tank ya lita milioni kumi. Wewe chizi wa Dar unajua dam ni nini? Kumbe sisi Wakenya tunapoteza muda wetu kudebate na watu wajinga hivi?
Leta capacity acha upimbi...sungura wewe....tunawajua nyie Ni wazee wa majina na mbwembwe nyingi wakati hakuna kitu...
 
Back
Top Bottom