Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
- Thread starter
- #21
Usitoke nje ya mada. Jielekeze kwenye ISO 9001: 2015 na ISO 45001:2018.Huko Arusha Kisongo nako kuna bwawa la Mwl Nyerere?, mbona mafuriko ni makubwa?.
Maeneo mengi ya Tanganyika mwaka huu hali ni tofauti, mvua zimenyesha nyingi kupitiliza.
Huko Rufiji mafuriko hayajaanza jana wala juzi, yapo miaka na miaka.
Pia kama kisingizio ni bwawa, vipi hilo bwawa lisingekuwepo hayo maji yanayoleta maafa yangeelekea wapi kama si kwenye makazi ya binadamu?.
Acheni siasa za majitaka.
Kama huzielewi waachie wahandisi na wataalamu wa environmental studies watusaidie