Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) wafikia 85%

Hongera zake Magufuli

Japo bodaboda watahitaji elimu sana maana watapukutuika wengi kwa huo mkeka
 
Hivi hili daraja lina umuhimu gani? Yaani ni magari/mizigo ya kutoka wapi kwenda wapi yatalitumia? Kabla ya hapo hali ilikuwaje? NB: nauliza kwa nia nzuri kwani hayo maeneo siyajui.
Hili ni daraja muhimu Sana kwasababu linaunganisha mwanza kwenda sengerema,chato,bukoba na nchi za jirani..zamani kabla ya daraja magari yalivushwa kwa pantoni ambapo zaodi ya nusu saa unatembea ndani ya maji, daraja likiisha watatumia dk 5 tu
 
Je Airport ya Chato inaendeleaje?
 
Magufuli oyeee
Magufuli amekufa likiwa kwenye materials mobilisation stage. Mpeni tu sifa Rais Samia kwa kuhakikisha anamaliza miradi yote ya mtangulizi wake.

Kumbuka Dikteta alivyponda na kutoendeleza miradi aliyoanza Kikwete kama bomba la gesi Mtwara na Bagamoyo port..

Magufuli alibuni miradi lakini hakuna mradi ulfika 40% kuanzia 2017 hadi anakufa mwaka 2021.

Samia ameruhusu ukosoaji na pamoja anavyobezwa lakini kazi amepiga kusawasawa.

Hongera Rais Samia kwa miaka 3 ya kazi iliyotukuka
 
Hili daraja halianzi kutumika mwaka huu.

Kila siku muda kukamilisha daraja unao gezwa
 
ST.MAGUFULI OYEE,,,mtajuana wenyewe vibaraka wa waarabu
 
Ukimpa credit wewe cheti feki inatosha tusipangiane
 
R. I. P Magufuli hata nyumbu erythrocyte watapita hilo daraja huku wakitukana matusi yao
Mfuate we bwege, hiyo ni kazi ya mama labda km wafu wanafanya kazi duniani. Daraja lenyewe halina umuhimu, ni ule upendeleo wake ulioivunja nchi. Hatutaki kumsikia huyo shetani wenu
 
Hivi hili daraja lina umuhimu gani? Yaani ni magari/mizigo ya kutoka wapi kwenda wapi yatalitumia? Kabla ya hapo hali ilikuwaje? NB: nauliza kwa nia nzuri kwani hayo maeneo siyajui.
Hilo daraja Magufuli alijenga kwa ajili yake sawasawa na ule uwanja wa Chato. Yule alikuwa shetani hii nchi sijui leo ingekuwa wapi, tumshukuru Mungu kumwondoa yule shetani. Tuombe uzima uone km kutakuwa na magari itakuwa km daraja la umoja
 
Na wewe ni kibaraka wa nani? Wa wazungu?
Huyu ni mrundi kwanza ulicho kiandika hata akijui akili yake inamtuma yakuwa magu ndie anasimamia ujenzi huo warundi kwa chuki wacha tu
 
Halafu nilisikia kuwa hayo majani ni malighafi ya kutengenezea kitu kama mbolea hivi.
Ama ndiyo ule usemi kwamba, 'kwenye miti hakuna wajenzi'?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…