KERO Ujenzi wa daraja la Mabatini jijini Mwanza umekuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo

KERO Ujenzi wa daraja la Mabatini jijini Mwanza umekuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Eyeson Property

Senior Member
Joined
Jan 23, 2018
Posts
197
Reaction score
42
Wiki ya pili sasa kuna foleni kubwa sana, MWAUWASA mabomba yamepasuka na baadhi ya mitaa maji hakuna. Daraja halina njia ya watembea kwa miguu.

Njia za michepuko za Mabatini ni mbovu na zina vumbi na barabara Hazimwagiwi maji.
 
Back
Top Bottom