baiser
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,480
- 2,239
Kuna ka eneo kangu ka urefu wa 13M kwa 20M ,eneo ni tambarare kabisa ilaa naona katavamiwa na majirani maana ujenzi eneo hilo umepamba sana moto.
Nataka nijue niandae
Tofari ngapi
Simenti mifuko mingapi
Mchanga kiasi gani
Nondo ngapi
Na je kwa uzoefu fundi atalipwa kiasi gani na eneo ni Dar es salama -kimara
N.b na kama kuna sample mbali mbali za fensi naomba
Nataka nijue niandae
Tofari ngapi
Simenti mifuko mingapi
Mchanga kiasi gani
Nondo ngapi
Na je kwa uzoefu fundi atalipwa kiasi gani na eneo ni Dar es salama -kimara
N.b na kama kuna sample mbali mbali za fensi naomba