Ujenzi wa frame ya duka uzingatie mahitaji ya mtumiaji

😂 Vyoo vya bank ni kwa staff tu duniani kote.
 
Wamiliki wa frame inabidi wabadilike.

Ukijenga frame lazima uweke choo pembeni hata kwa nje kwa ajili ya mhudumu na wateja.

Unaweza kukifanya cha kulipia. Unakuta mjini frame kibao lakini choo cha kulipia kipo mita kadhaa, hivyo inakuwa usumbufu kwa mhudumu wa frame akibanwa haja!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Good!! Very smart napendaga sana mabandiko yako

After all unajuaga kupangilia hoja zako
 
Kweli hizi ni mentality za watu wa abroad, yaani unachoongea hapa kipo huko kwa wenzetu, eti mwenye frame akujengee jiko kwa ajili ya kupasha kiporo chako cha wali maharage...hapa hapa Dar! Haha
sawa unaeza kuta hata kama likiwepo bei itakuwaje
 
Utaambiwa iga ufe na unaendekeza anasa. Ni kama jiwe alivyokuwa waziri wa ujenzi na miundo mbinu alikataa kujengwa sidewalks barabarani eti ni anasa na kuchezea hela wakati yeye alikuwa anakunja 10%.

Mmatumbi binadamu wa ajabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…