Bado unahangaika tu hela haijawai zidi
Kuna fundi moja aliniambia kwa uziefu wao nyumba ya kuanzia milioni 10 ni imara kuliko chini ya hapo upo hapo
Unaoneka mjuaji pambana sasa unavyojua sawa
Amna, wewe ndo nakuona ivo maana unasema chini ya 10m hakuna nyumba, watu wanaishi kwe nyumba za m5 ,ww unaona huko mjini tu,Unaoneka mjuaji pambana sasa unavyojua sawa
Vipi mkuu Hawa mafundi bongo wapo au Ni swala la kutupia wawe......
Mazingira yanaruhusu Kama uko pande za mkoa flan iv usishangae unatengeneza viota vya nyoka na wadudu hatari.......
Hizo material zinaaminika manake wire mesh ya kutengeza mabanda ya kuku mimi mwenyewe navunja kwa mkono mmoja Leo unatia tonnes za mawe. Yasijetokea ya kujitengenezea kifusi.....
Alaf ongeza hela mkuu Hilo fungu Halitoshi
Sent using Jamii Forums mobile app
Uache hela kidogo ya kununua helmet ya kutumia uwapo ndani ya nyumba yako.Hamjambo wakuu,
Moja kwa moja kwenye mada,
Wakati nikisubiri zile milioni 3 zangu zijae ili nijenge, nimepata wazo jingine la ujenzi rahisi kabisa.
Ujenzi huu unahusisha mawe na mesh (nyavu), nimeona ni less cost kwa kuwa simenti haihitajiki sana na unaokoa muda
""""" kumbuka nia yangu ni kufanikisha kujenga kwa gharama nafuu zaidi na makazi yenye hadhi, kwa gharama ileile"""""
Nawashukuru watu wachache wa hapa JF walioyeyuka mioyo na kuonyesha nia ya kunisaidia kimawazo hata kitaaluma kabisa, huko PM wapo wengi tu.
Katika ujenzi huu nitapaua kwa zege nyumba ya vyumba viwili tu na kisiitingi rumu.
Hapa napunguza gharama za:-
Mbao,
Ceilings
Bati
Misumari
Katika zoezi hili nitatumia wire mesh za bei nafuu kabisa na nondo chache.
Kwanini tusimiliki nyumba???
Nawasilisha.
View attachment 1041808View attachment 1041810
Sent using Jamii Forums mobile app
Uache hela kidogo ya kununua helmet ya kutumia uwapo ndani ya nyumba yako.
Amna, wewe ndo nakuona ivo maana unasema chini ya 10m hakuna nyumba, watu wanaishi kwe nyumba za m5 ,ww unaona huko mjini tu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh, jamn ntajenga kwel???Ukianza ujenzi huo , usichani ni rahisi. Ujenzi wa style ya gabion , Ni ghali kuliko kutumia tofali za cement,tofali za choma , ghali kuliko hata ukuta wa zege. Fanya utafiti wa Bei ya cubic meter moja ya Gabion si chini ya 120,000 za kitanzania. Kwa hiyo Kama una hela za manati tafadhari usijaribu
Sent using Jamii Forums mobile app
2m haitatosha kujenga hata msingi. Uezekaji wa zege unahitaji msingi imara na nguzo kubeba uzito huo.Bado unahangaika tu hela haijawai zidi
Kuna fundi moja aliniambia kwa uziefu wao nyumba ya kuanzia milioni 10 ni imara kuliko chini ya hapo upo hapo
Ila ujenzi huu utakuwa rahisi kwa miji kama ya tabora, mwanza na mingine ambapo mawe ya aina hiyo yapo, mji kama dar es salaamitakuwa gharama kubwa maana kuyapata hayo mawe ni gharama kweli kweli, km sikosei kuagiza kokoto toka lugoba huwa ni milioni 2 hivi.
Sent using my nokia ya tochi