Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujenzi wa hii bandari ungeendana na ujenzi wa reli kutokea Songea to Mtwara port kupitia Lindi..ikiwapendeza pia iunge na ile ya Tazara inayoelekea Mbeya..
Makaa ya mawe kutokea Songea yasafiri kwa mabehewa to Mtwara port na iwepo stock pile kubwa Mtwara huku tukiongeza uzarishaji wa makaa, Pia graphite ya Lindi ipitie kwenye reli hiyo hiyo to Mtwara port. From Mtwara port makaa yanaweza fika Tanga via bahari, Dar via bahari na viwanda vya cements vikapata makaa kwa gharama nafuu..
Mpaja huo kwenye avatar si mchezoUjenzi wa hii bandari ungeendana na ujenzi wa reli kutokea Songea to Mtwara port kupitia Lindi..ikiwapendeza pia iunge na ile ya Tazara inayoelekea Mbeya..
Makaa ya mawe kutokea Songea yasafiri kwa mabehewa to Mtwara port na iwepo stock pile kubwa Mtwara huku tukiongeza uzarishaji wa makaa, Pia graphite ya Lindi ipitie kwenye reli hiyo hiyo to Mtwara port. From Mtwara port makaa yanaweza fika Tanga via bahari, Dar via bahari na viwanda vya cements vikapata makaa kwa gharama nafuu..
Tutapeleka reli chato kukuza utalii poli la Burigi kwanzaUjenzi wa hii bandari ungeendana na ujenzi wa reli kutokea Songea to Mtwara port kupitia Lindi..ikiwapendeza pia iunge na ile ya Tazara inayoelekea Mbeya..
Makaa ya mawe kutokea Songea yasafiri kwa mabehewa to Mtwara port na iwepo stock pile kubwa Mtwara huku tukiongeza uzarishaji wa makaa, Pia graphite ya Lindi ipitie kwenye reli hiyo hiyo to Mtwara port. From Mtwara port makaa yanaweza fika Tanga via bahari, Dar via bahari na viwanda vya cements vikapata makaa kwa gharama nafuu..
Mpaja huo kwenye avatar si mchezo
Ova
Nilimsikia Waziri Mkuu Akiongelea juu ya ujenzi wa SGR toka Mtwara kwenda Mbamba Bay....
Acha tu.......Hahahaaaha jamaa yangu mpaja umekutoa udenda, hasara hizo mkuu.