Ujenzi wa Haya Mashimo ya Choo ni Bora, Tuambieni Tusije Kujichanganya

Ujenzi wa Haya Mashimo ya Choo ni Bora, Tuambieni Tusije Kujichanganya

Sehemu zenye unyevu na maji maji tunatumia karavati kwenye ujenzi wa haya mashimo!
Kuhusu altitude
Altitude ni kina/urefu kutoka usawa wa bahari.
Altitude ndiyo kigezo kikubwa cha kuamua aina ya mfumo wa choo unaopaswa kutumika katika eneo husika.
Dar ina altitude ya 0 hadi 55 metres.
Maeneo ya Altitude kubwa(above 5M) kwa Dar ni
  • Ukanda wa Chanika na Pugu
  • Ukanda wa Goba,Mbezi juu na Mbezi Louis
  • Ukanda wa Kimara hadi Kibamba
  • Ukanda wa Wazo na Bunju
Maeneo yenye altitude ya Wastani(2 to 5M)
  • Ukanda wa Kinondoni na Magomeni
  • Ukanda wa Temeke na Kigamboni
  • Ukanda wa Ubungo na Mabibo
  • Ukanda wa Kariakoo,Upanga na Mchafukoge
Maeneo yenye altitude ndogo (below 1.5M)
  • Maeneo ya mikondo ya maji ya kutoka baharini...Ununio karibia na Ras Kilomoni
  • Maeneo yaliyo pembezoni mwa mashamba ya chumvi
  • Maeneo yenye mikoko
  • Mabonde ya mito na delta ....Jangwani ,Msimbazi.
Altitude ni kigezo kikubwa sana kwa mikoa ya Pwani ya Bahari na Maziwa...
Ndiyo maana Dar utakuta kuna maeneo vyoo ni vya Ghorofa.
Mikoa mingine hili suala wala hali haliwahusu.

Nawatahadhalisha watu wa Dar ambao maeneo yenu ni altitude ya cha chini : Huu mfumo si kwa kila maeneo, mtaingizwa chaka.
 
Nimeona haya mashimo ya Choo mtandaoni je Ubora Wake ni Mzuri tusije Kujichanganya tukahama Kwenye Uchumbaji wa Mashimo marefu tukajuta Baadae:

Sifa zake wanasema.

1. Hayajai kamwe
2. Hanachukua Sehemu ndogo

View attachment 2936283
Inategemeana na soil texture ya eneo husika
  1. Kuna maeneo ya unyevu mwingi yatakusanya maji toka nje kuja ndani kama ilivyo kwa visima
  2. Kuna maeneo ya ardhi inayolizunguka shimo ni kavu hiyo itafyonza maji ya shimoni na kulifanya lisijae
 
Ukweli ulioweka hapo ni upi sasa...?

Kuna maeneo hiyo system inafeli, haifanyi kazi siyo kisa gharama ya chini ila ardhi yake hairuhusu kunyonya maji....

-Nenda Mikocheni Darajani au Msasani bonde la mpunga kaweke hiyo kitu uone,
Lazima muwajuze wateja penye ukweli and siyo kudanganya tu...
Ikiwa hivyo ,inabidi shimo litoke Nje zaidi hata futi 3 Juu ya Ardhi ndio halitakabiliana na hiyo shida.
 
Yana sehemu na sehemu, kwa Dar na ukanda wowote wenye water table ya juu yanasumbua
Jengeni traditional drainage systems ya mashimo 2 kuliko hiyo promo ya Nchi ambazo hawana maeneo.

Mtakuja kulia kama Contemporary House
 
Ikiwa hivyo ,inabidi shimo litoke Nje zaidi hata futi 3 Juu ya Ardhi ndio halitakabiliana na hiyo shida.
Kulitokeza shimo nje kwa 1M au 3M...haisaidii kupoteza maji ardhini....
Height above the sea level ndiyo main issue ilipo....
Nyie mliopo bara hamuwezi experience hili, mana ni mpo 1,000M+ wakati Dar ni 0 to 5M...
 
Kulitokeza shimo nje kwa 1M au 3M...haisaidii kupoteza maji ardhini....
Height above the sea level ndiyo main issue ilipo....
Nyie mliopo bara hamuwezi experience hili, mana ni mpo 1,000M+ wakati Dar ni 0 to 5M...
Maji hayatazudi usawa wa Ardhi
 
Maji hayatazudi usawa wa Ardhi
Maji kuzidi usawa wa ardhi ndipo unapata swamps,mabwawa na mito and lakes....

The prime factors za ardhi kunyonya maji ni
  • Usawa wa bahari:ina athiri mikoa ya Pwani tu kwa TZ.....Maji yote huwa ni level sawa, ambapo main level ya maji ni bahari.....
  • Aina ya mwamba
Pitia Fluid Mechanics...
 
Septic tank zinaitwa. Maeneo yeneye maji mengi hii mifumo haifai kabisa.
Inamwaga maji juu ya ardhi na kusababisha harufu na uchafuzi wa mazingira.
Pia kama watumiaji ni wengi ni shida sana.
Mvua zikinyesha sna pia ni shida.
 
Ukweli ulioweka hapo ni upi sasa...?

Kuna maeneo hiyo system inafeli, haifanyi kazi siyo kisa gharama ya chini ila ardhi yake hairuhusu kunyonya maji....

-Nenda Mikocheni Darajani au Msasani bonde la mpunga kaweke hiyo kitu uone,
Lazima muwajuze wateja penye ukweli and siyo kudanganya tu...
𝙅𝙚 𝙐𝙣𝙖𝙝𝙞𝙩𝙖𝙟𝙞 𝙎𝙝𝙞𝙢𝙤 𝙞𝙢𝙖𝙧𝙖 𝙣𝙖 𝙡𝙞𝙨𝙞𝙡𝙤𝙟𝙖𝙖 𝙠𝙬𝙖 𝙖𝙟𝙞𝙡𝙞 𝙮𝙖 𝙘𝙝𝙤𝙤 𝙖𝙪 𝙢𝙖𝙟𝙞 𝙢𝙖𝙘𝙝𝙖𝙛𝙪 𝙣𝙮𝙪𝙢𝙗𝙖𝙣𝙞 𝙢𝙬𝙖𝙠𝙤?

Mabingwa na wabobezi wa ujenzi wa mashimo bora na ya kisasa Yasiyojaa Tupo kwa ajili yako.

Tumefanya kazi bora mikoa karibia yote nchini Tanzania

Tumejenga vyoo vya kudumu kwenye Taasisi kama vile Shule, Hospitali, makanisa na misikiti.

Karibu leo ufanye kazi nasi. Gharama zetu Kwa Dar es Salaam ni 1. m na kwa wa mikoani ni 1.2 m. Material na vifaa vyote ni Juu yetu sisi

Wasiliana nasi sasa WhatsApp & Call kupitia namba 0789005562
 
Haya mashimo simshaur mtu ayachimbe kama sehem aliyopo level ya maji ipo juu...ni ya kipuuzi sana...mm niliyachimbaga haya...kisa gharama ndogo...baada ya mvua kunyesha lilijaa...hapo nyumba haijaanza kutumiwa...kumwita alienijengea longolongo nyingiii...maneno mengiiii

Nikapiga chini nikajenga haya ya kizaman yenge maduara makubwa.....tatizo likaisha


Wapuuz sana hawa wajenz...wao hawashindw kitu ili mrad wapate kazi
 
Septic tank zinaitwa. Maeneo yeneye maji mengi hii mifumo haifai kabisa.
Inamwaga maji juu ya ardhi na kusababisha harufu na uchafuzi wa mazingira.
Pia kama watumiaji ni wengi ni shida sana.
Mvua zikinyesha sna pia ni shida.
Hili suala ,utawaelekeza watu mpaka kuchoka...
Na
Mafundi michael huweka matangazo kuwa hivi vyoo hufanya kazi kila sehemu Dar es Salaam hii....wizi mtupu.
 
Haya mashimo simshaur mtu ayachimbe kama sehem aliyopo level ya maji ipo juu...ni ya kipuuzi sana...mm niliyachimbaga haya...kisa gharama ndogo...baada ya mvua kunyesha lilijaa...hapo nyumba haijaanza kutumiwa...kumwita alienijengea longolongo nyingiii...maneno mengiiii

Nikapiga chini nikajenga haya ya kizaman yenge maduara makubwa.....tatizo likaisha


Wapuuz sana hawa wajenz...wao hawashindw kitu ili mrad wapate kazi
Pole aiseeh...
Ishamtokeaga mteja wangu mmoja, miaka 5 nyuma....
Nilimshauri ila hakuniskiliza....akaja kujuta...
 
𝙅𝙚 𝙐𝙣𝙖𝙝𝙞𝙩𝙖𝙟𝙞 𝙎𝙝𝙞𝙢𝙤 𝙞𝙢𝙖𝙧𝙖 𝙣𝙖 𝙡𝙞𝙨𝙞𝙡𝙤𝙟𝙖𝙖 𝙠𝙬𝙖 𝙖𝙟𝙞𝙡𝙞 𝙮𝙖 𝙘𝙝𝙤𝙤 𝙖𝙪 𝙢𝙖𝙟𝙞 𝙢𝙖𝙘𝙝𝙖𝙛𝙪 𝙣𝙮𝙪𝙢𝙗𝙖𝙣𝙞 𝙢𝙬𝙖𝙠𝙤?

Mabingwa na wabobezi wa ujenzi wa mashimo bora na ya kisasa Yasiyojaa Tupo kwa ajili yako.

Tumefanya kazi bora mikoa karibia yote nchini Tanzania

Tumejenga vyoo vya kudumu kwenye Taasisi kama vile Shule, Hospitali, makanisa na misikiti.

Karibu leo ufanye kazi nasi. Gharama zetu Kwa Dar es Salaam ni 1. m na kwa wa mikoani ni 1.2 m. Material na vifaa vyote ni Juu yetu sisi

Wasiliana nasi sasa WhatsApp & Call kupitia namba 0789005562
Mkoa wa Dar by elevation ,ndiyo mkoa ulio chini kuliko yote...hence hiyo factor ya kufanya kazi mikoa mengine haina mashiko inapokuja kwenye suala la ujenzi wa mashimo haya...
 
Mkoa wa Dar by elevation ,ndiyo mkoa ulio chini kuliko yote...hence hiyo factor ya kufanya kazi mikoa mengine haina mashiko inapokuja kwenye suala la ujenzi wa mashimo haya...
Kwenye mikoa mingine vipi kwenye maeneo zamani yaliyokuwa ni oevu (Swamps) kabla?

Maana kama hoja ni usawa wa bahari, nataka kujua kama sisi wa huku milimani tupo salama kujenga Kila mahali kwa kuwa tupo juu sana toka usawa wa bahari?
 
[emoji320]𝐎𝐅𝐀 𝐊𝐔𝐁𝐖𝐀 𝟒𝟎% 𝐙𝐢𝐦𝐞𝐩𝐮𝐧𝐠𝐮𝐳𝐰𝐚

Gharama ya ujenzi ni 800,000 mteja utanunua mchanga tu kwa ujenzi wa shimo moja, kwa ujenzi wa mashimo mawili ni 1,100,000 kila kitu juu yetu.

MIKOANI gharama ni 1,000,000 shimo la tofali na 1,300,000 shimo la tofali pamoja na shimo la mawe kwa pamoja.

Tupigie kwa no. 0789005562

[emoji724][emoji775][emoji840]Hizi ni baadhi ya sifa za choo hichi [emoji116]
Hupoteza maji taka kwa njia ya ardhi (hakijai)
Hutumia eneo dogo Sana ardhi kulinganisha na mashimo ya kale
Havitemi harufu ndani kwa harufu hupotelea ardhini
Hupendezesha mazingira kwani unaweza kulijenga lisionekane
Gharama zake ni rafiki Sana kulinganisha na mfumo wa kale

Piga simu Utajibiwa kwa haraka 0789005562
FB_IMG_1705231919354.jpg
IMG-20240321-WA0013.jpg
 
Ipo hivi,Hapo huwa kuna mifumo miwili ili kuwezesha kufanya kazi.

1.Maji ya Chooni/Kinyesi huenda kwenye shimo la kwanza tu.
Ambapo kawaida kwenye kinyesi huwa kuna bakteria wanaotafuna vinyesi.
-hao baketria huwa hawataki oksijeni, ndiyo maana mashimo yake uzibwa kwa zege,hewa isiingie.

2.Maji machafu ya kuoga na Jikoni, huwa kwenye shimo lingine, upande mwingine wa shimo. Kwani haya huwa na detergent ambayo yakiingia kwenye maji ya kinyesi, Huua wale bakteria.
Ukisafisha choo hakuna detergent ya kuua hao bakteria?
 
Back
Top Bottom