King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hidden roof ni gharama sana unless ujenge kizushi zushi ambapo mvua italala mbele na wewe ,mpese mpese kama chujio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukijenga Ile Kitu Ujue Ni Kihonda Morogoro Yaani Mafuriko Na Hasara TeleJenga la kawaida mkuu, nakumbuka jamaa yangu alijenga hiyo ,nilipomuuliza kuhusu ubora wa paa na kutokuvuja akasema ana warranty na fundi basi kitu kikaja kushuka mweee ni mwembe fundi kupigiwa simu blah blah nyingi mara kapotea mazima
Kila siku nawaambia watu hizo contemporary sio nyumba za maskini maana ukilazikisha kimaskini utakimbia nyumba..Mimi nimepaua hidden roof ... Haivuji .... But kama unachagua namna ya upauaji kwa ajili ya kupunguza gharama wewe bora upaue paa la kawaida tu. Ukijichanganya kwenye hidden roof eti unapunguza gharama utaimba haleluya [emoji23]
Mwaka wa kwanza1. Mwaka wa ngapi huu tangu upaue. Hidden roof?
2. Bati za gage ngapi umeezekea?
Hao Wanatakiwa Mvua Asubuhi ~Usiku, Mfululizo Kwa Week Ndiyo Hapo Utajua Kama Ni Fundi MaikoHiki ni kiangazi? [emoji50][emoji100]
[emoji16][emoji16][emoji16] Omba Dua mafuriko ya Nuhu yaje ufanye experiment yako .Hao Wanatakiwa Mvua Asubuhi ~Usiku, Mfululizo Kwa Week Ndiyo Hapo Utajua Kama Ni Fundi Maiko
Asante kwa taarifa.Mimi nilichofanya nilipaua mwezi wa kumi then nikasubiri mvua sikuwa na haraka ya kufunga board ndani, mvua ilipokuja ikawa inavuja sehemu chache tu za misumari na hiyo kutokana na pilikapilika za fundi kupiga plasta ili ni kosa kwa maana kila kitu unatakiwa umalize kabla ya kuweka bati, mvua za sasa hivi nacheka kwa dharau tu hakuna cha kuvuja wala nini, NB usikimbilie kufunga board subiri mvua ije ikupe majibu sahihi alafu acha pilikapilika baada ya kupiga bati, kwaupande wangu upauaji huu umeokoa sana kibunda changu
Sehemu ambazo geta hugusana na kuta sharti pabandikwe tile, slope nzuri na usafi wa mara kwa mara wa njia za maji, aidha hakikisha nyumba haiwi chini ya miti. Hupati tatizo lolote kamwe.Hidden roof huvuja sababu kwa sababu kuu tatu;
1. Wakati wa kutengeneza gutter haikuzibwa vizuri na kupigwa plasta kwenye kona za ukuta hivyo kusababisha maji kutuama na kuingia kwenye ukuta.
2. Mabomba ya kutolea maji ni finyu au yameziba au gutter hazina slope ya kutosha
3. Fundi bati alizingua aidha hakuziba vizuri sehemu ambazo bati inaingia kwenye ukuta wakati wa kuezeka au alikuwa na pilika nyingi zilizopelekea kukanyanga bati maranyingi. Hii hutokea pale ambapo ushapaua ndio unapandisha tofali za kumalizia juu au kupiga plasta.
Mimi nimepaua Hidden roof na haivuji ... Lakini i will stick to my last statement. "USIPAUE HIDDEN ROOF KUOKOA GHARAMA ... UTAIMBA HALELUYA"View attachment 2482713
Hampend kujifunza.ya nin upate shida mwaga slope usiweke gutterHidden roof huvuja sababu kwa sababu kuu tatu;
1. Wakati wa kutengeneza gutter haikuzibwa vizuri na kupigwa plasta kwenye kona za ukuta hivyo kusababisha maji kutuama na kuingia kwenye ukuta.
2. Mabomba ya kutolea maji ni finyu au yameziba au gutter hazina slope ya kutosha
3. Fundi bati alizingua aidha hakuziba vizuri sehemu ambazo bati inaingia kwenye ukuta wakati wa kuezeka au alikuwa na pilika nyingi zilizopelekea kukanyanga bati maranyingi. Hii hutokea pale ambapo ushapaua ndio unapandisha tofali za kumalizia juu au kupiga plasta.