Ujenzi wa Jumba la 600 square Meters Kufunga Machine

Lambardi

Platinum Member
Joined
Feb 7, 2008
Posts
18,813
Reaction score
21,830
Wadau wa JF,naomba mwenye ufahamu wa michoro na ujenzi wa jumba (kiwanda kidogo) cha ukubwa wa 600 square meters na angalau mita 4 kwenda juu..naomba ushauri wenu na kujua gharama zake,nataka kufunga machine za kuzalisha light products.naomba ushauri wenu
 
Swali lako liko too vague, hakuna mtu anayeweza kukusaidia. Hili jukwaa tuna kawaida ya kusaidiana, lakini na wewe inabidi uwe unasaidika.
Jieleze vizuri unataka kujenga nyumba au warehouse? Shughuli unayotaka kufanyia pia ni muhimu na ina impact kwenye gharama.
 
portal framed structure is the solution

wengine watafunguka zaidi
 

Mkuu nataka kujua cost za kujenga structure ambapo nitaweza kufunga machine ndani ya hilo jengo...nataka kujua gharama za jengo hilo la 600sqm njia ipi nzuri na gharama nafuu....kwa wajasiliamali wadogo kama sisi....nadhani sasa nimeeleweka zaidi.
 
Mashine ya kutotolea viranga,au Pombe ya Banana?hebu fafanua,manake umekazana ".......nataka kuweka mashine"
 
True mkuu,machine ya nin?maana kama wataka kuweka Lathe machine u need a certain concrete/structure for that,so ukitaka saidiwa vizuri kuwa wazi other wise utajibiwa kisanii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…