Ujenzi wa kibanda siyo nyumba


Yaani upo sahihi mafundi wanazingua sana
Mie nilileta fundi tubadilishe bati...tumefumua bati sii akaniambia unajua bro na kenchi nazo zitoke...nilichokaje
 
Kwa nini??
ukiwa na kiwanja tayari huwezi shindwa kuanza kama una kianzio kidogo lets say 3millions inafanya uhamie ndani kabisa
Hatua ya kwanza Jenga msingi.

pili pandisha tofali.

tatu funga lenta na nondo alafu pandisha tofali za mwisho course 2 au 3.

nne tafuta mbao za 2×4 na 2×3 funika kenchi na mbao za 2x2

tano nunua bati za bei nafuu na imara zenye muonekano mfano bati za corrugated za rangi.

sita weka milango na madirisha mazuri yenye hewa ya futi labda 5x6

ANGALIZO:
siyo lazima kumaliza ujenzi mfano milango ya ndani, malizia sebule, choo cha public, dinning, vibraza vya nje na chumba chako cha kulala kama kupiga plaster, rangi na tiles inatosha kuamia kama hutaki kuendelea kupanga.
 
Kama unalipa laki moja kodi kwa mwezi inaonesha kipato chako ni kizuri. Kwanini usijibane uongeze kidogo mkuu? gharama ya kujenga nyumba ndogo au chumba ni kubwa kuliko ya kujenga vyumba viwili au nyumba kubwa. sijui kama utaelewa
Ufafanuzi mkuu
 
hapo umeongea sana
 
Kabisa, Fundi hawana makadirio ya ukweli.
 
nimeipenda hii plan haina Mambo mengi
 
Kinadumu kwa muda gani?.
 
Sijaona mahali mmeongelea kibali cha ujenzi.....auinategemea sehemu na sehemu?.
 
ndiyo iliyokuwa nia yangu mkuu mimi kama nina milioni 2 tu siwezi kupanga wala kulalamika ujenzi ni mgumu maana watu wanadanganyana sana kuhusu ujenzi, niambie kwani nini nitakujibu.
Kwanini?
 
Kwenye pipa sijaelewa unanyea humo?
 
Kama unalipa laki moja kodi kwa mwezi inaonesha kipato chako ni kizuri. Kwanini usijibane uongeze kidogo mkuu? gharama ya kujenga nyumba ndogo au chumba ni kubwa kuliko ya kujenga vyumba viwili au nyumba kubwa. sijui kama utaelewa
Mwenye uwezo wa kulipa laki kwa mwezi yuko vizuri huyo anatuzuga tu
 
Habari wakuu,

Je, milioni tatu naweza kupata kibanda cha kuishi nimechoka kupanga, huwa nalipa 100k kwa mwezi naona kama nikipata kibanda cha kuishi nitapunguza matumizi?
Kama unacho kiwanja waweza jenga kama hii sehemu yoyote Tanzania
 
Reactions: apk
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…