Valenciaga
Member
- Jul 4, 2020
- 44
- 61
- Thread starter
-
- #61
Poapoa broo nitaleta mrejeshoKila la heri mkuu utupe mrejesho.
Sie wa kuunga unga kulipa kodi roho inamaga basi tu.
Tatizo gharama za Choo zipo constant, iwe unajenga nyumba ya vyumba 4 au kimoja, mfumo wa Choo unamaliza sana hela
Lakini ukijipanga chumba kimoja kizuri kinajengeka
Pia mimi huwa siwaamini mafundi kwa asilimia zote, anaweza kukwambia hiyo hela inatosha kumbe lengo lake apate kazi, mjengo utakapoishia hapo hapo yeye hana hasara
Kwa vipimo hvyo kwa msingi wa kozi 4 zitaenda tofali ngapiVipimo kwa cm
Moshi wanatumia mawe kujenga msingi kule wana unafuu kidogo tofauti na Dar.Kwa vipimo hvyo kwa msingi wa kozi 4 zitaenda tofali ngapi
Yap! Kwa dar kwa vipimo hvyo ndio tofali ngapiMoshi wanatumia mawe kujenga msingi kule wana unafuu kidogo tofauti na Dar.
ukiwa na kiwanja tayari huwezi shindwa kuanza kama una kianzio kidogo lets say 3millions inafanya uhamie ndani kabisaKwa nini??
Ufafanuzi mkuuKama unalipa laki moja kodi kwa mwezi inaonesha kipato chako ni kizuri. Kwanini usijibane uongeze kidogo mkuu? gharama ya kujenga nyumba ndogo au chumba ni kubwa kuliko ya kujenga vyumba viwili au nyumba kubwa. sijui kama utaelewa
Kama hivi[emoji116]Kwatope ukiwa na maana gani?
View attachment 1504651
hapo umeongea sanaHapo unapata chumba mbili master plus solo na sebule yake kwa ramani ya kisasa kabisa , pamoja na kuezeka , Ila utapata tabu ya kuhamia bila floor Wala plasta na milango,
Ujitoe lakini , sio Lele mama! na usisikilize mtu zaidi ya kuzikumbuka kero na nyodo za father house uliyopanga.
Sent
Kabisa, Fundi hawana makadirio ya ukweli.Tatizo gharama za Choo zipo constant, iwe unajenga nyumba ya vyumba 4 au kimoja, mfumo wa Choo unamaliza sana hela
Lakini ukijipanga chumba kimoja kizuri kinajengeka
Pia mimi huwa siwaamini mafundi kwa asilimia zote, anaweza kukwambia hiyo hela inatosha kumbe lengo lake apate kazi, mjengo utakapoishia hapo hapo yeye hana hasara
nimeipenda hii plan haina Mambo mengiFundi ameniambia tofali 650
Mchanga 2 cement 15 bati 16-18
Mawe Lori moja, maji nilipo ni bure, kibarua ni Mimi mwenyewe, Ela ya Fundi Hadi paa 200k siku tatu tunapiga Hadi lenter, madirish mawili na mlango mmoja vyote used, kibanda tayari.View attachment 1504411
Kinadumu kwa muda gani?.Anaweza akaanza na cha pipa mkuu huku akivuta nguvu.
Sink ni Tsh 18,000 , Bomba Type C ni 25,000/= Tofali 8 ni 8,000/= ,Cement mfuko mmoja 13,500/= Mchanga atanunua viroba hata vitatu kwa buku na fundi akampa 20,000/= tu kumfanyia settings....Pipa anaweza kupata kati ya elfu 30 hadi 50.
Kibanda amazingFundi ameniambia tofali 650
Mchanga 2 cement 15 bati 16-18
Mawe Lori moja, maji nilipo ni bure, kibarua ni Mimi mwenyewe, Ela ya Fundi Hadi paa 200k siku tatu tunapiga Hadi lenter, madirish mawili na mlango mmoja vyote used, kibanda tayari.View attachment 1504411
Kwanini?ndiyo iliyokuwa nia yangu mkuu mimi kama nina milioni 2 tu siwezi kupanga wala kulalamika ujenzi ni mgumu maana watu wanadanganyana sana kuhusu ujenzi, niambie kwani nini nitakujibu.
Kwenye pipa sijaelewa unanyea humo?Anaweza akaanza na cha pipa mkuu huku akivuta nguvu.
Sink ni Tsh 18,000 , Bomba Type C ni 25,000/= Tofali 8 ni 8,000/= ,Cement mfuko mmoja 13,500/= Mchanga atanunua viroba hata vitatu kwa buku na fundi akampa 20,000/= tu kumfanyia settings....Pipa anaweza kupata kati ya elfu 30 hadi 50.
Kwanini unataka kubana matumizi?Nafikiri kujenga choo Cha shimo na mabanzi kwa muda kwanza huku nikijipanga taratibu
Mwenye uwezo wa kulipa laki kwa mwezi yuko vizuri huyo anatuzuga tuKama unalipa laki moja kodi kwa mwezi inaonesha kipato chako ni kizuri. Kwanini usijibane uongeze kidogo mkuu? gharama ya kujenga nyumba ndogo au chumba ni kubwa kuliko ya kujenga vyumba viwili au nyumba kubwa. sijui kama utaelewa
Kama unacho kiwanja waweza jenga kama hii sehemu yoyote TanzaniaHabari wakuu,
Je, milioni tatu naweza kupata kibanda cha kuishi nimechoka kupanga, huwa nalipa 100k kwa mwezi naona kama nikipata kibanda cha kuishi nitapunguza matumizi?