The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Bisha kwa fact tofali moja ya interblock ina size ngapi afu bei yake zinahitajika ngapi piga hesabu pia upatikanaji wake ni rahisi kama wa hizi nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bisha kwa fact tofali moja ya interblock ina size ngapi afu bei yake zinahitajika ngapi piga hesabu pia upatikanaji wake ni rahisi kama wa hizi nyingine
Nakuanbiaje sio kweli siwezi bishana na wewe Ila jua sio kwelibisha kwa fact tofali moja ya interblock ina size ngapi afu bei yake zinahitajika ngapi piga hesabu pia upatikanaji wake ni rahisi kama wa hizi nyingine
Tofali za interlocking ni ghali kwa maeneo nilipo wanauza TSH 800 pamoja na usafiri, kwenye chumba kimoja Cha 9sqm zinaweza kuingia Hadi 1000 na kila baada ya corse kaza unaweka nondo
Asante mkuu nishampata Fundi mkuuhapana mkuu mi nataka tu nimsaidie kwenye ujenzi nione na iyo site yake kwa nia njema, kimsingi nyumba ya mil 3 inatosha kuhamia kabisa mfano chumba cha futi 10 kwa 10 kimoja kinagharimu laki 3.5 mpaka lenta kwa tofali na mchanga plus cement sasa nimeona milioni tatu inatosha vyumba viwili na sebule ila hawezi kuweka dirisha kote maana dirisha zuri la security+ aluminium ni laki 3 bati igharimu za milioni 1 + mbao.
Wazo lako nizuri ila hela haitoshi mwanzoni nilikuwa na wazo Kama Hilo Ila mahesabu yalikataa baada ya kuona itabidi niongeze idadi ya kila kituMimi namshauri ajenge foundation yenye ramani ya vyumba viwili na sebule,jiko na choo cha ndani.
Akishamaliza foundation ainue chumba kimoja kwa ajili ya kuhamia ili baadae aendelee na ujenzi pole.
Ingawa kutengeneza karo la choo litamgharimu kama mdau mmoja alivyocomment juu.
Hilo karo la choo peke yake huwa linakula zaidi ya 1.5 Milioni.
Kujenga kichumba kimoja tu eti kwa sababu ya panic ya kuwa mpangaji sio sawa.
Hapo unapata chumba mbili master plus solo na sebule yake kwa ramani ya kisasa kabisa , pamoja na kuezeka , Ila utapata tabu ya kuhamia bila floor Wala plasta na milango,Ndiyo mkuu upo
Udongo tifutifu eneo tambarare
Vyumba viwili na sebule? Inawezekanaje hapo inaweza kuwaHapo unapata chumba mbili master plus solo na sebule yake kwa ramani ya kisasa kabisa , pamoja na kuezeka , Ila utapata tabu ya kuhamia bila floor Wala plasta na milango,
Ujitoe lakini , sio Lele mama! na usisikilize mtu zaidi ya kuzikumbuka kero na nyodo za father house uliyopanga.
Sent
Kama unaweza kuafford kulipa Kodi ya laki moja kwa mwezi upo kwenye position nzuri Sana ya kujengaFundi ameniambia tofali 650
Mchanga 2 cement 15 bati 16-18
Mawe Lori moja, maji nilipo ni bure, kibarua ni Mimi mwenyewe, Ela ya Fundi Hadi paa 200k siku tatu tunapiga Hadi lenter, madirish mawili na mlango mmoja vyote used, kibanda tayari.View attachment 1504411
Thanks mkuu pamoja sanaKama unaweza kuafford kulipa Kodi ya laki moja kwa mwezi upo kwenye position nzuri Sana ya kujenga
Anza na boma tupu bila madoido , na ikiwezekana hamia hivo hivo , finnishing utaifanya ukiwa ndani , Ni njia rahisi kabisa ya kuondokana na kero ya kupanga
Lakini ukitaka uhamie nyumba ikiwa imekamilika kila kitu , ujenzi utaouona ngumu Sana ,
Sent
Hata mie nimeona ajenge kwa staili unayomshauri , vyumba viwili na sebule , atapumzika kidogo wakati anajipanga na nyumba kubwahapana mkuu mi nataka tu nimsaidie kwenye ujenzi nione na iyo site yake kwa nia njema, kimsingi nyumba ya mil 3 inatosha kuhamia kabisa mfano chumba cha futi 10 kwa 10 kimoja kinagharimu laki 3.5 mpaka lenta kwa tofali na mchanga plus cement sasa nimeona milioni tatu inatosha vyumba viwili na sebule ila hawezi kuweka dirisha kote maana dirisha zuri la security+ aluminium ni laki 3 bati igharimu za milioni 1 + mbao.
Mkuu anza mengine yatajulikana mbele, hiyo hela inatoshaFundi ameniambia tofali 650
Mchanga 2 cement 15 bati 16-18
Mawe Lori moja, maji nilipo ni bure, kibarua ni Mimi mwenyewe, Ela ya Fundi Hadi paa 200k siku tatu tunapiga Hadi lenter, madirish mawili na mlango mmoja vyote used, kibanda tayari.View attachment 1504411
Ushauri Mzuri aanze mengine yatakuja njiani maana hiyo laki ya kilawezi atakuwa anaifanyia marekebisho taratibuKama unaweza kuafford kulipa Kodi ya laki moja kwa mwezi upo kwenye position nzuri Sana ya kujenga
Anza na boma tupu bila madoido , na ikiwezekana hamia hivo hivo , finnishing utaifanya ukiwa ndani , Ni njia rahisi kabisa ya kuondokana na kero ya kupanga
Lakini ukitaka uhamie nyumba ikiwa imekamilika kila kitu , ujenzi utaouona ngumu Sana ,
Sent
Sijajua unatumia ramani ipi,unaweza usitumie hiyo idadi ya tofali,tafuta ramani nzuriVyumba viwili na sebule? Inawezekanaje hapo inaweza kuwa
Tofali 900 bati 40 cement mifuko 30
Million 3 haitoshi
Inategemea na choo! Unaweza zika pipa mbili zikawa ndio chamber ya kutuliza mizigo huku ukijikongoja na mengine pipa 1 ni 20 mpk 25 elf wengne wana zika tire yote hayo upande wa choo kunakua na sink kama kawaida na pipe ya pvc inch4 ndio inapeleka kwny chamberTatizo gharama za Choo zipo constant, iwe unajenga nyumba ya vyumba 4 au kimoja, mfumo wa Choo unamaliza sana hela
Lakini ukijipanga chumba kimoja kizuri kinajengeka
Pia mimi huwa siwaamini mafundi kwa asilimia zote, anaweza kukwambia hiyo hela inatosha kumbe lengo lake apate kazi, mjengo utakapoishia hapo hapo yeye hana hasara
Vyumba viwili havihitaji ramaniSijajua unatumia ramani ipi,unaweza usitumie hiyo idadi ya tofali,tafuta ramani nzuri
Sent
Choo Haina shida Nina eneo la kutosha na udongo ni tifutifu hivyo na Jenga Cha shimo na kufunika na mbao kwanza au mabanzi na kuta zake pia zitakuwa za mabanziInategemea na choo! Unaweza zika pipa mbili zikawa ndio chamber ya kutuliza mizigo huku ukijikongoja na mengine pipa 1 ni 20 mpk 25 elf wengne wana zika tire yote hayo upande wa choo kunakua na sink kama kawaida na pipe ya pvc inch4 ndio inapeleka kwny chamber
Choo una jenga kawaida sink kama kawaida ila kule mizigo inapo elekea badala ya kutumia gharama kubwa unakua umezika pipa lililotobolewa au matairi unajengea juu 2 pvc pipe ndio itaunga choo kwenda kwny chamber kuliko cha shimo kiafya chember au choo kikae mita kadhaaChoo Haina shida Nina eneo la kutosha na udongo ni tifutifu hivyo na Jenga Cha shimo na kufunika na mbao kwanza au mabanzi na kuta zake pia zitakuwa za mabanzi
Hizo namba ni idadi ya tofali ama ni vipimoVyumba viwili havihitaji ramani
Sebule 350
Chumba 300 na choo chake Cha 100x160
Kajiko la 150 kwa 160
Vipimo kwa cmHizo namba ni idadi ya tofali ama ni vipimo