Ujenzi wa kiwanda cha korosho kuanza Kenya

Mwaka huu tu. Ndio Kuna shida na masoko ya korosho na viwanda. 2020 Kutakuwa na viwanda vya kutisha nchini Tanzania hasa kipindi hichi Cha Magu. Wacha mchezo
 
Hajakupangia cha kuandika, Amekukosoa.
Tatizo umeandika kwa Mihemko.
Ukisoma vizuri utawajua tu wenye mihemko, mliozowea mambo ya Tz VS Ke...
Kama hukutaka kukosolewa ungemtumia mtoa mada comment yako PM ili tusiione but as long as umeiweka public kwenye forum ukubali na kukosolewa.
Wewe hukuwa ukikosoa, bali unaponda...
Na wewe ni nani unawanyima uhuru watu wengine kuchangia!?
Matatizo yako usiyalete JF, tafuta njia nzuri ya kuyakabili...
Pia wewe ni nani hata tuogope kukukosoa....
Kaazi kweli kweli!...
 
Hata Tanzania vipo vingi kama hivyo hakuna kiwanda kinachprocess zaidi ya 100k kwa mwaka na wakulima wanazalisha 450k kwa mwaka, Kenya inawezekana sababu mnazalisha kidogo kukithi mahitaji ya viwanda.
 
Nakumbuka nilisema hapa jf kwamba WB walikuja county za huko pwani na project ya kupatia watu miche ya mikorosho iliofanyiwa research vizuri .... Wakapatia mtu yeyote anaetaka miche na mafunzo kadhaa, wanasema baada ya miaka minne au mitatu watarudi tena na watanunua hizo korosho Kwa at least 200/kg, tukaanza kuwauliza ni vizuri wanapatia watu miche alafu watarudi kununua korosho lakini mbona value addition isifanyike huko huko pwani ........ Kumbe walikua na mipango ya kujenga kiwanda pia ..... Hivi ndo donor funding inafaa kufanya kazi..... Si kusomesha watoto na kuwapeleka hospitali alafu wakishakua watu wazima hakuna kazi ya maana, wiwanda ndo kitu muhimu kuliko usaidizi wa Aina yoyote manake Baba au mama au mtoto akipata KAZI basi anaweza lisha,somesha familia yake yote ....
 
Wananunua korosho TZ zilizobanguliwa na kurepark upyaa na kusema NI korosho za Kenya. NI sawa na mbolea ya minjingu. Wananunua na kurepark na kusema NI ya Kenya
 
Wananunua korosho TZ zilizobanguliwa na kurepark upyaa na kusema NI korosho za Kenya. NI sawa na mbolea ya minjingu. Wananunua na kurepark na kusema NI ya Kenya

Hehehe nimecheka sana, mna shida nyingi sana nyie, sasa nani wa kulaumiwa hapa.
 
Hicho kiwanda chenu uwezo mdogo kwasababu Tanzania inazalisha korosho tani laki tatu kwa mwaka
 
Mwakani una Cha kununua.. Magu kushituka

Kwanza hadi leo kuna wakulima hawajalipwa, hili la korosho mliangukia pua, mjifunze jinsi ya kutovuruga kila kitu, mengine myaache yajiendeshe.
 
Kama hukutaka kukosolewa ungemtumia mtoa mada comment yako PM ili tusiione but as long as umeiweka public kwenye forum ukubali na kukosolewa.
Mbona yule jamaa ukimkosoa lazima akupoteze? Shida nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…