Mjomba Mkude
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 287
- 110
Huu ni mradi mkubwa kabisa kutokea katika shule za sekondari nchini Tanzania. Chanzo cha mapato ya mradi ni kukamuliwa wananchi.
Kwa sasa hatulali huku vijijini Mgambo na Askari Polisi wanatusaka kama operasheni tokomeza.
Mradi huu unatufanya tuwe watumwa kwenye nchi yetu.
Mbunifu wa mradi huu ni JK.
Kwa sasa hatulali huku vijijini Mgambo na Askari Polisi wanatusaka kama operasheni tokomeza.
Mradi huu unatufanya tuwe watumwa kwenye nchi yetu.
Mbunifu wa mradi huu ni JK.