Tanzania haina tatizo la vyanzo vya maji, ikiwezekana au ikihitajika tutachimba mifereji au kuweka mabomba toka Lake Victoria....
Roho ya husda inamfanya kuona ati wanatukomoa!We mshamba kweli. Yani serengeti iwe jangwa!! Are you stupid or something.
Ukubwa wa serengeti ni sawa na Belgium.
We have source of water all corners of country.
Listen; this is the list of lakes near by Serengeti:-
1. Lake Matron
2. Lake Eyasi
3. Lake Manyara
4. Lake Victoria.
Kwa akili yako haya maziwa source ya maji ni wapi!?
Wasikutishe.Samahani mnaojua hii nito inayoilisha serengeti na hayo maziwa vyanzo vyake wapi?
Let us sabotage the project
Umeme umewashinda hata pale Bomba mbili Dar, maji ndio mtaweza...wacha utani bro 😂😂Tanzania haina tatizo la vyanzo vya maji, ikiwezekana au ikihitajika tutachimba mifereji au kuweka mabomba toka Lake Victoria....
We Mwasiti,hivi hujui kuwa tumevuta maji kutoka Lake Victoria mpaka hapa Tabora?na tupokwenye process ya kuyapeleka Hadi Dodoma?Sasa hiyo ya Serengeti ndio tutashindwa?Umeme umewashinda hata pale Bomba mbili Dar, maji ndio mtaweza...wacha utani bro 😂😂
Mtashindwa kabisaaa!We Mwasiti,hivi hujui kuwa tumevuta maji kutoka Lake Victoria mpaka hapa Tabora?na tupokwenye process ya kuyapeleka Hadi Dodoma?Sasa hiyo ya Serengeti ndio tutashindwa?
hakuna kucheka na waswahili tena mazee....😂 lazima tuwakule bila vilainishiii....cheki yule mbunge wao bwege bwege constatine kanyasu anavolia lia humu! 💩💩Mtashindwa kabisaaa!
Tanzania haina tatizo la vyanzo vya maji, ikiwezekana au ikihitajika tutachimba mifereji au kuweka mabomba toka Lake Victoria....
huna akili ecosystem INA mito 14Sources pale Wizarani zinasema mabwawa kwenye mto mara ambao ni lifeline kwenye Serengeti ecostsytem ziko kwenye finalisation, na ndani ya the coming weeks mzee wa Kenyatta atazindua kazi rasmi.
Tumpe hongera kwa kusimama kidete kwa hili swalaa, maana kelele zipo nyingii ila nyingi ni toka kwamabeberu eti Serengeti itakufaaa😂lile eneo la mara tutaligeuza kuwa eneo kubwa kabisa la ukulima wa unyumyiziaji. Lazima jamii za wafugaji zifaidi, upande wa Serengeti waanze kujipanga na visima.
The Serengeti will die if Kenya dams the Mara River
Maji ya manyara Enyasi na natron ya afikaje na yale milimaWe mshamba kweli. Yani serengeti iwe jangwa!! Are you stupid or something.
Ukubwa wa serengeti ni sawa na Belgium.
We have source of water all corners of country.
Listen; this is the list of lakes near by Serengeti:-
1. Lake Matron
2. Lake Eyasi
3. Lake Manyara
4. Lake Victoria.
Kwa akili yako haya maziwa source ya maji ni wapi!?
Nawewe nae unafurahisha saa zingine, hujui kwamba tumeweza kujenga mabomba kutoa maji Lake Victoria mpaka Tabora na sasa tuna extend hadi Dodoma. Setengeti iko hapohapo karibu na Lake Victoria, it shares the same ecosystem.Umeme umewashinda hata pale Bomba mbili Dar, maji ndio mtaweza...wacha utani bro [emoji23][emoji23]