Mr DIY
JF-Expert Member
- Dec 24, 2016
- 1,188
- 2,553
Katika pita pita zangu nimejikuta naanza kuvutiwa na designs zinazojitokeza kila siku za makanisa, ujenzi wako una staajabisha sana, tuoneshe jengo la kanisa la huko kwenu ikipendeza tupe picha za ndani na nje hata historia kidogo.
Hii ni RC Geita, hili ni jipya kabisa
Rc Kibaha.
Rc bukoba
Hii ni Lutheran church, Lupembe Njombe, bila shaka lina zaidi ya miaka 70 sasa.
Jimbo katoliki Njombe
Iringa
Hii ni RC Geita, hili ni jipya kabisa
Hii ni RC Kibosho, ninasikia lina karne sasa
Hapa ni St Joseph, Jimbo kuu la Dar es salaamRc Kibaha.
Rc bukoba
Hii ni Lutheran church, Lupembe Njombe, bila shaka lina zaidi ya miaka 70 sasa.
Jimbo katoliki Njombe
Iringa