Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
- Thread starter
-
- #41
Maji nitachimba kisima na kutumia pump yak kupeleka tenkini..then supply insideHiyo nyumba inahitaji mfumo wa maji safi na maji taka built from ground. Sidhani kama anategemea mfumo wa manispaa/public.
Swali langu la kwanza (nataka niende taratibu, ili niweze kujifunza kitu) Unaweza kuniambia/kukadiria gharama ya mfumo wa maji safi na majitaka?
a. Septic tank na karo au at least karo peke yake.
b. Kisima (na pump yake).
c. Elevated tank (tank na tower)
d. Pipes zote kwa ujumla
e. Fittings za bafuni, chooni (vyoo viwili) na jikoni.
ya ni professional yangu mkuu nimekuwa nikifanya na kampuni za wachina hapo dar but for now nipo arusha nafanya miradi ya serekali ya force account name ujenzi wa hospitali na shule naBoss kumbe ni proffesion yako.. itabid nikucheck..what else do you do boss?
Ndio Unaweza mkuu makadirio yanajumuisha kila kitu pamoja na hayo uliyoyaelezaHiyo nyumba inahitaji mfumo wa maji safi na maji taka built from ground. Sidhani kama anategemea mfumo wa manispaa/public.
Swali langu la kwanza (nataka niende taratibu, ili niweze kujifunza kitu) Unaweza kuniambia/kukadiria gharama ya mfumo wa maji safi na majitaka?
a. Septic tank na karo au at least karo peke yake.
b. Kisima (na pump yake).
c. Elevated tank (tank na tower)
d. Pipes zote kwa ujumla
e. Fittings za bafuni, chooni (vyoo viwili) na jikoni.
Nataka mkuu aliyejibu hapo juu anipe mahesabu taratibu .Maji nitachimba kisima na kutumia pump yak kupeleka tenkini..then supply inside
Jf kuna mambo😂😂😂 umenifanya nicheke mbele za watu kwenye kikao asee.
Haitoshi, Hii nyumba ni kubwa (sqm 156). Kama utatumia material za kiwango cha kawaida kwa hela hiyo itafika kwenye lintel. Kama vitabaki vichenchi havitatosha kupaua.Hello quick thinkers na valuators wa JF, nina budget ya Tsh 25 millions. Kiwanja kipo tayari na eneo la ujenzi ni mkoa wa Mara.
Je hiyo budget inaweza kufinance ujenzi wa awali, kupaua na finishing katika nyumba yenye sifa zifuatazo:
1: Ukubwa wa mita 12 × 13
2: Master room moja
3: Single rooms tatu
4: Public toilet ya ndani moja
5: Average sized sitting room
6: Small dining room
7: Kitchen ya ndani ndogo
8: Fence
9: Isiyo ndefu kwenda juu (Bati chache)
Kwanza tuanze na vifaa vinayotumika:Nataka mkuu aliyejibu hapo juu anipe mahesabu taratibu .
Kwa sababu, humu ukisema haitoshi huwa unadhihakiwa kana kwamba unajidai au unajipaisha. Nataka tuambiane ukweli tu.
Kama hizi alumium ndio mauaji kabisa yaniUkweli hiyo budget haitatosha kwa nyumba unayoitaka,unaweza ukaishia njiani(finishing haitamaliza) na mwaka huu vifaa vya ujenzi vimepanda sana bei (bati,gypsum powder,nondo,vifaa vya umeme,grill) otherwise ukilazimisha utatumia vifaa visivyo na ubora baadae ukapata shida ushauri wangu
Unaweza punguza room moja nyumba iwe 3 bedroom kwa siku hizi hakuna logic kujenga nyumba ya kuishi yenye vyumba 4
Gharama kubwa ya ujenzi inaanzia kwenye finishing (plasta,grill,kuezeka,skimming,brandaring,,umeme,maji,milango,madirisha (aluminium),tiles
[emoji16][emoji16][emoji16]Haitoshi pesa ndogo sana hiyo, mi msingi tu umekula milioni 20.....alisikika mdada wa jf akiongea mwenyewe
Haha wabongo[emoji16][emoji16][emoji16]
Mkoa gani bossNina fundi mzuri wa nyumba mkuu, sisemi mengi kuhusu yeye ukimhitaji niambie nikupe namba yake
Vp nikiwa na 35mill itaosha bila kuondoa ukuta na chumbaUkuta ondoa upunguze na room
Yeye anaishi Kigamboni, lakini anafanya kazi popote.Mkoa gani boss
Kabisa japo finishing itakua ya kawaidaVp nikiwa na 35mill itaosha bila kuondoa ukuta na chumba
Nidm namba ake mkuuYeye anaishi Kigamboni, lakini anafanya kazi popote.
[emoji848]Hapa ndo nilipong'amua kuwa unajiuliza na kujijibuBoss kumbe ni proffesion yako.. itabid nikucheck..what else do you do boss?