Jenga nyumbn ya room 2 /3 isiwe na mambo mengi pia usiwek kona nying kwaajil ya kupunguz gharam za mbao na bati ila ili uende vzr ongeza hapo million 3 utajeng kwa uhakika zaidHello quick thinkers na valuators wa JF, nina budget ya Tsh 22.5 million, kiwanja kipo tayari na mazingira ya ujenzi ni mkoa wa Mara.
Je, kwa budget hiyo katika ujenzi wa mwanzo, fence hadi finishing..., je naweza kujenga nyumba ya ukubwa gani, vyumba vingapi, kiwango gani, etc?