Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cute Wife umemsikia mzee wa kupambania anachosemaSiku ya kuzindua mjengo mnikaribishe tuje kuubariki kwa kupiga 3some na mrembo huyo
Vipi usipoweka vioo ukaweka tu tofali za kawaidaComplete hadi rangi taa furnitures
Kama vioo ni tempered au laminated 10/12mm, jumla itafika around 80m
Kama vioo kawaida, below 10mm, haizidi 50m
Inategemeana na urefu wako, ukijenga official kabisa kwa kufuata protocol inaweza fika 8-10M (mana utafuata protocol za ghorofa) ila kama itaamua kumtumia fundi maiko, halafu hicho chumba cha juu ukaweka sio kirefu sana bas hapo utakaa kwenye 5M hiv max
Nb. It is subject to changes kutokana ma maeneo
Je kama uredu usipokuwa official protocol ya ghorofa,msingi si unaweza kuwa kama wa nyumba ya kawaida tu
?
Unataka kutengeneza kaburi mkuu [emoji276]kama huna pesa panga kama sisi tu usituone tuliopanga ni wajinga tunaepuka kukaa nyumba hatarishi