[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]Ndo wanaojenga mkuu au unamaanisha Mchwa wadudu?
Wakuu habari za Jumapili?
Samahani naomba mawazo ama ushauri ni wapi kwa Tanzania naweza kupata mtalaamu anayeweza kunijengea nyumba ya kawaida ndogo (vyumba 4) kwa kutumia materials kama zinavyoonekana kwenye picha.
Ama mawazo ya namna gani naweza kufanikisha wazo langu hili? Nitashukuru sana.
Asante.
View attachment 981269
Cha ajabu zinaishi, je kwao hakuna mchwa?Anaamanisha mchwa mududu nadhani. Mkuu wachina wanajenga nyumba za hayo materials kama sikosei.
Sent using Jamii Forums mobile app