Ujenzi wa nyumba nzuri yenye vyumba vinne

KINGSLEE

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2013
Posts
830
Reaction score
1,046
Habar zenu wadau wa GT.
Nina milion 3 nipo Morogoro nampango wakujenga nyumba nzuri ya kisasa ila kwa taratibu.
Nyumba hiyo naomba Raman nzuri kwa mwenye nayo.
Idea niliyonayo ni kujenga Msingi wa nyumba nzima halafu nainua Chumba cha Master(Kinakuwa na choo chake) nakijenga mpaka mwisho ambapo nitahamia ili kukwepa kodi ila nitaweka Matoleo ya ukuta kuonyesha kuwa bado naendelea na Ujenzi wa ukuta wa vyumba vilivyobakia..
Naomba msaada wa Raman ila raman hiyo ya nyumba isizidi thaman ya milion 30.
 
Mkuu wapo wahusika humu na uzi zao watafute msaidiane maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…