Ujenzi wa nyumba ya matofali ya kuchoma Buyuni

Ujenzi wa nyumba ya matofali ya kuchoma Buyuni

Sumba-Wanga

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
5,353
Reaction score
1,234
Wanajamvi,

Nina kiwanja changu kule buyuni sasa nilikuwa nafikriia kujeanga nyumba ya matofali ya kuchoma. Kuna mwenye wazo wapi maeneo ya karibu naweza kuyapata matofali hayo (sio Morogoro) na bei yake ikoje?

Zamani nilikuwa nasikia kwau Kisarawe una matofali, sijui kama ni kweli?

Vile vile, niko wazi kwa ushauri wa aina nyingine.
 
Quality ya tofari za kuchoma ni controversial, Kama mfuko unaruhusu na ungependa nyumba yako iwe imara na idumu jengea 'vibrated blocks' zenye kiwango kama za kombe, GNP, Mbezi Tile, Osambi, Twiga cement, 'msomali'
 
mkuu Sumba-Wanga!wewe ndo umepakiwa kwenye hiyo pikipiki au ndo unaiendesha!!
 
Last edited by a moderator:
Quality ya tofari za kuchoma ni controversial, Kama mfuko unaruhusu na ungependa nyumba yako iwe imara na idumu jengea 'vibrated blocks' zenye kiwango kama za kombe, GNP, Mbezi Tile, Osambi, Twiga cement, 'msomali'

Matofari ya kuchoma hayana shida na bei chini ila yataongezea gharama kwenye lipu na wakati wa kunyanyua kwani yanakula cement nyingi kutokana na hayapo level moja kama ya block (kwenye lipu ili upate level nzuri unahitaji lipu yako iwe inch kadhaa) pia ni madogo hivyo cement utayotumia kujengea kozi nne za matofari ya kuchoma ni sawa na cement ya kujenga kozi 2 za matofari ya kuchoma)

Naumngana na wewe kutumia tofari hizo ulizoainisha au hizi za block za kawaida kwani faida yake ataiona kwenye finishing hasa lipu
 
Matofari ya kuchoma hayana shida na bei chini ila yataongezea gharama kwenye lipu na wakati wa kunyanyua kwani yanakula cement nyingi kutokana na hayapo level moja kama ya block (kwenye lipu ili upate level nzuri unahitaji lipu yako iwe inch kadhaa) pia ni madogo hivyo cement utayotumia kujengea kozi nne za matofari ya kuchoma ni sawa na cement ya kujenga kozi 2 za matofari ya kuchoma)

Naumngana na wewe kutumia tofari hizo ulizoainisha au hizi za block za kawaida kwani faida yake ataiona kwenye finishing hasa lipu

Mkuu big up sana ngoja nitafute wataalamu wa kufanya mchanganuo
 
Wanajamvi,

Nina kiwanja changu kule buyuni sasa nilikuwa nafikriia kujeanga nyumba ya matofali ya kuchoma. Kuna mwenye wazo wapi maeneo ya karibu naweza kuyapata matofali hayo (sio Morogoro) na bei yake ikoje?

Zamani nilikuwa nasikia kwau Kisarawe una matofali, sijui kama ni kweli?

Vile vile, niko wazi kwa ushauri wa aina nyingine.

mkuu kisarawe hakuna matofali mazuri ya kuchoma yaliyoko .ni low quality, ill kuna watu wanatenge.za matofali ya udongo uliochanganywanna cement ka order yako ...
 
mkuu kisarawe hakuna matofali mazuri ya kuchoma yaliyoko .ni low quality, ill kuna watu wanatenge.za matofali ya udongo uliochanganywanna cement ka order yako ...

Asante mkuu. Hao wajasiliamali wako kisarawe? Quality ya matofali yao ikoje?
 
Mkuu, kuna tofali za kupachika zinapatikana Tegeta. Au kwa usahihi zaidi unaweza kwenda kwa Wakala wa majengo pale Mwenge watakushauri vizuri zaidi.
Mm mwenyewe nina kiwanja Buyuni na nilijaribu kuwasiliana nao kipindi fulani lakini sasa nimehama so cjafuatilia tena
 
Mkuu, kuna tofali za kupachika zinapatikana Tegeta. Au kwa usahihi zaidi unaweza kwenda kwa Wakala wa majengo pale Mwenge watakushauri vizuri zaidi.
Mm mwenyewe nina kiwanja Buyuni na nilijaribu kuwasiliana nao kipindi fulani lakini sasa nimehama so cjafuatilia tena

Bei yake ikoje
 
Mkuu big up sana ngoja nitafute wataalamu wa kufanya mchanganuo

Komaa mkuu maana mie nilishafanya ujenzi wa tofari za kuchoma najua jinsi zinavyoingiza gharama kwenye lipu unless umepata mtu amekuuzia matofari toka kwenye tanuru moja alafu yamefyatuliwa na kibao kilichonyooka maana udongo ni tofuti na mchanga ukishindilia ukitoa kibao huwa linavimba kwa pembeni hivyo kupata tofari ambayo imenyooka ni kazi.

Ila kwa upande mwingine tena kama utafyatua mwenyewe tofari za kuchoma kwa namna moja ama nyingine yanakuwa nafuu maana hayaitaji maji ya kumwagiliwa (assuming upo eneo ambalo halina maji na ukifyatua za block kuna uwezekano ukachakachuliwa na mtu anayemwagilia mwisho wa siku unapata tofari za block za quality ya chini)

Fanya COST - BENEFIT ANALYSIS ili uweze kufanya maamuzi
 
Quality ya tofari za kuchoma ni controversial, Kama mfuko unaruhusu na ungependa nyumba yako iwe imara na idumu jengea 'vibrated blocks' zenye kiwango kama za kombe, GNP, Mbezi Tile, Osambi, Twiga cement, 'msomali'
Mkuu unaweza ukawa na nr ya Kombe ?
 
Mimi naomba kufahamu kati ya matofali ya kuchoma na block yapi hayavuti maji? nimeona nyumba nyingi karibu na msingi zinakuwa na fungi hivi kutokana na maji yaliyo ardhini
 
Back
Top Bottom