Beatus Alex
Member
- Jul 26, 2016
- 43
- 33
Wanajamii habarini,
Samahani naomba kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya room mbili ambayo itakua na choo ndani na ka kibaraza kizuri cha kuvutia..
Atleast yenye muonekano kama pichani
Samahani naomba kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya room mbili ambayo itakua na choo ndani na ka kibaraza kizuri cha kuvutia..
Atleast yenye muonekano kama pichani