Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF wote wataalam wa kila kitu. Hata ukianzisha mada ya mauti wapo waliowahi kufa humu watakujibu.Humu kila mtu kasoma COET na Ardhi
JF wote wataalam wa kila kitu. Hata ukianzisha mada ya mauti wapo waliwahi kufa humu watakujibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JF wote wataalam wa kila kitu. Hata ukianzisha mada ya mauti wapo waliwahi kufa humu watakujibu.
kuna ghorofa ipo biafra sidhani kama inafika hata 15 kwa 15, lakini limekwenda juu ghoroea 14
Nadhani ndiyo maana kuna ndugu hapo juu kashauri amuone mzee wa jadi mshana ili kufanikisha hilo jambo
Plot ya 20 kwa 20 unapanga kujenga ghorofa ya floor 5!!!!
Kwenye ujenzi wa nyumba au structure yeyote kinacho matter sio ukubwa kiwanja bali ni uwezo wa ardhi kubeba jengo husika (soil bearing capacity).Me mwenyewe nimestuka sana kama sio kushangaa