Mkuu huwez kuanza kujipanga kimaisha kwa kuanza kujenga nyumba ya room 4,unakua na Mawazo,unachora Raman,then unajenga misng,ukimaliza unapandisha room moja unaacha matoleo,ukimaanisha mpambano unaendelea,unachoma ndani ya nyumba,mdogo mdogo had inaisha!mm ndio Ilikua style yangu na sasa hv nkikuonyesha picha ya nyumba yangu nlivohamia na sasa jns ilivyo huwez amini.
Nlipaua room yangu moja kwa bati la kawaida geji 32,nikijua nikimaliza nafumua bati naweka migongo mipana,sasa hv nimemaliza huwez kuamini,kaz kwako mkuu