Ujenzi wa Nyumba

Ujenzi wa Nyumba

g4cool

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
429
Reaction score
206
Habari za mchana wadau,
Kama mnavyojua vijana siku hizi tunachakarika ili tuweze kukaa kwenye nyumba zetu, ila sijaona uzi unaozungumzia ujenzi wa nyuma, watu kupeana ideas mbalimbali za ujenzi, kushare ramani za nyumba (ukipenda) na vitu vingine

Sasa kwa kuanzia mimi nataka nijenge nyumba ya vyumba vinne, je ni naweza kupata ideas ya ramani hivi
unaweza kunisahihisha popote
 
ulipitiwa tu lakini nakumbuka ulishawai kuwekwaga humu....subili waje wenye kazi zao wakupe maujuzi kidogo...
 
Mkuu huwez kuanza kujipanga kimaisha kwa kuanza kujenga nyumba ya room 4,unakua na Mawazo,unachora Raman,then unajenga misng,ukimaliza unapandisha room moja unaacha matoleo,ukimaanisha mpambano unaendelea,unachoma ndani ya nyumba,mdogo mdogo had inaisha!mm ndio Ilikua style yangu na sasa hv nkikuonyesha picha ya nyumba yangu nlivohamia na sasa jns ilivyo huwez amini.

Nlipaua room yangu moja kwa bati la kawaida geji 32,nikijua nikimaliza nafumua bati naweka migongo mipana,sasa hv nimemaliza huwez kuamini,kaz kwako mkuu
 
Tena ikiwezekana hii thread iwe sticky! Vijana wahamasishwe!!
 
Mkuu huwez kuanza kujipanga kimaisha kwa kuanza kujenga nyumba ya room 4,unakua na Mawazo,unachora Raman,then unajenga misng,ukimaliza unapandisha room moja unaacha matoleo,ukimaanisha mpambano unaendelea,unachoma ndani ya nyumba,mdogo mdogo had inaisha!mm ndio Ilikua style yangu na sasa hv nkikuonyesha picha ya nyumba yangu nlivohamia na sasa jns ilivyo huwez amini.

Nlipaua room yangu moja kwa bati la kawaida geji 32,nikijua nikimaliza nafumua bati naweka migongo mipana,sasa hv nimemaliza huwez kuamini,kaz kwako mkuu

duh embu nione picha ya nyumba yako, sio kwamba ulitumia gharama kubwa sana kujenga na kufumua nyumba???
kuna sehemu nimefuma mkopo ndio nataka nisimamishe, nipauwe, niweke milango na madirisha ndio niingie
 
Mkuu hapa tunaongelea hela zetu za kuunga unga,ila kama una mkopo ni Vizur kulianzisha mwanzo mwisho
 
Mkuu hapa tunaongelea hela zetu za kuunga unga,ila kama una mkopo ni Vizur kulianzisha mwanzo mwisho

co mbya mkanishauri c unajua naweza pia nikai2mia vby nisifkie lengo
 
Back
Top Bottom