Ujenzi wa Reli ya Dar - Ruvuma unaopangwa utafaa sana. Uanze mapema

Ujenzi wa Reli ya Dar - Ruvuma unaopangwa utafaa sana. Uanze mapema

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Nimesoma kwenye Ripoti ya Ukaguzi ya CAG Kichere.

EXTRACT YA RIPOTI INASEMA
"Kampuni ya Reli Tanzania (TRC) kama wakala wa utekelezaji wa mradi, iliingia makubaliano na mkandarasi mshauri kwa mkataba Na. PA/003/2013-13/C/15 kwa ajili ya upembuzi yakinifu na muundo wa awali wa ujenzi wa reli ya Mtwara - Songea - Mbambabay na matawi ya reli za Liganga na Mchuchuma. Upembuzi yakinifu na muundo wa awali ulikamilika mwezi Januari 2016, ambao unaonesha urefu wa njia ya mradi ya kilometa 997 na gharama za ujenzi zilizokadiriwa kuwa dola za Marekani bilioni 4.74. Hata hivyo, tangu mwaka 2016 ujenzi wa mradi huo bado haujaanza kutokana na kutopatikana kwa vyanzo vya fedha za kufadhili mradi huo wakati Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa Taifa umebakiza miaka mitatu kabla ya kukamilika ifikapo 2026."

MY TAKE:
Mikoa ya Kusini iangaliwe kwa jicho muhimu kupitia utekelezwaji wa mradi huu. Kuna wakati ilisemekana mikoa hii ni ya mwishomwisho kiuchumi, kama kweli, basi Ndugu zeta Hawa watendewe haki wajengewe reli kuwafungua zaidi ili twende pamoja. Nawasilisha with love. Nyadikwa.
 
Nimesoma kwenye Ripoti ya Ukaguzi ya CAG Kichere.

EXTRACT YA RIPOTI INASEMA
"Kampuni ya Reli Tanzania (TRC) kama wakala wa utekelezaji wa mradi, iliingia makubaliano na mkandarasi mshauri kwa mkataba Na. PA/003/2013-13/C/15 kwa ajili ya upembuzi yakinifu na muundo wa awali wa ujenzi wa reli ya Mtwara - Songea - Mbambabay na matawi ya reli za Liganga na Mchuchuma. Upembuzi yakinifu na muundo wa awali ulikamilika mwezi Januari 2016, ambao unaonesha urefu wa njia ya mradi ya kilometa 997 na gharama za ujenzi zilizokadiriwa kuwa dola za Marekani bilioni 4.74. Hata hivyo, tangu mwaka 2016 ujenzi wa mradi huo bado haujaanza kutokana na kutopatikana kwa vyanzo vya fedha za kufadhili mradi huo wakati Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa Taifa umebakiza miaka mitatu kabla ya kukamilika ifikapo 2026."

MY TAKE:
Mikoa ya Kusini iangaliwe kwa jicho muhimu kupitia utekelezwaji wa mradi huu. Kuna wakati ilisemekana mikoa hii ni ya mwishomwisho kiuchumi, kama kweli, basi Ndugu zeta Hawa watendewe haki wajengewe reli kuwafungua zaidi ili twende pamoja. Nawasilisha with love. Nyadikwa.
Uchumi gani unaongelea?
Yawezekana hufahamu hata maana ya uchumi lakini unatamka tu uchumi kila siku

Uchumi sio pesa, Kama uchumi ingelikuwa ni pesa basi serikali zingefanya kazi ya kuprint hizo pesa ziwe nyingi mbele za wananchi wake

Je wajua kuna uchumi wa Mtu binafsi?

Je wajua kuna uchumi wa nchi kama nchi?

Mfano Dar es Salaam ni sehemu yenye viwanda vingi sana na vinazalisha sana lakini ukichukua total output ya uzalishaji wa Dar es Salaam ukagawa kwa idadi ya watu chini ya Milioni tano wa Dar es Salaam unaweza ukaona Dar mambo ni mazuri sana kuliko huko Ruvuma Kiuhalisia watu wachache ndio wanaimiliki nguzo kuu za uchumi Dar es Salaam huku wengi wakiishi maisha ya pangu pakavu
Uchumi unafahamu unapimwa kwa vigezo gani?

Unafahamu maana ya Per capital income?

Unafahamu mapungufu ya kipimo cha per capital income

Watanzania wengi wanachambua mambo hata yale wasiyoyajua



Kuna shida kubwa sana kwenye elimu yetu

Kilichonichekesha ni hitimisho lako la mikoa ya kusini ipo nyuma kiuchumi

Je hufahamu report zinaonyesha mikoa ya Kilimanjaro, Arusha ndio kuna Umaskini uliotopea ambao hauwezi kupata sehemu yeyote ile labda Singida,Shinyanga na Dodoma

Hufahamu mkoa wa Mbeya na Kilimanjaro, Mwanza kuna udumavu mkubwa wa akili kwa watoto wadogo

Usiangalie majengo ukafikiria ndio uchumi

Uchumi una maana yake na ni moja ya kitu kigumu sana kukielewa, Wachumi wanakubaliana na kutokukubaliana

Kuna mikoa mikubwa lakini kila mwaka serikali inaingia gharama nje ya budget kuisaidia la sivyo watu na mifugo ingeteketea
 
Nimesoma kwenye Ripoti ya Ukaguzi ya CAG Kichere.

EXTRACT YA RIPOTI INASEMA
"Kampuni ya Reli Tanzania (TRC) kama wakala wa utekelezaji wa mradi, iliingia makubaliano na mkandarasi mshauri kwa mkataba Na. PA/003/2013-13/C/15 kwa ajili ya upembuzi yakinifu na muundo wa awali wa ujenzi wa reli ya Mtwara - Songea - Mbambabay na matawi ya reli za Liganga na Mchuchuma. Upembuzi yakinifu na muundo wa awali ulikamilika mwezi Januari 2016, ambao unaonesha urefu wa njia ya mradi ya kilometa 997 na gharama za ujenzi zilizokadiriwa kuwa dola za Marekani bilioni 4.74. Hata hivyo, tangu mwaka 2016 ujenzi wa mradi huo bado haujaanza kutokana na kutopatikana kwa vyanzo vya fedha za kufadhili mradi huo wakati Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa Taifa umebakiza miaka mitatu kabla ya kukamilika ifikapo 2026."

MY TAKE:
Mikoa ya Kusini iangaliwe kwa jicho muhimu kupitia utekelezwaji wa mradi huu. Kuna wakati ilisemekana mikoa hii ni ya mwishomwisho kiuchumi, kama kweli, basi Ndugu zeta Hawa watendewe haki wajengewe reli kuwafungua zaidi ili twende pamoja. Nawasilisha with love. Nyadikwa.
Mbona ni kituko, reli tika Dar kwenda Ruvuma ili iweje! Dar kuna bandari na Mtwara ipo bandari tena kubwa, Mtwara ilikuwa na reli, kwanini isijengwe reli ya kwenda ziwa Nyasa ambayo itakuwa na faida kwa Tanzania, Malawi, Zambia na Msumbiji.
Tunaitelekeza reli ya Tazara tunataka mradi mpya tutakaoutelekeza huku reli ya Tanga Arusha hatuiimarishi ili kulinda biashara ya malori yetu kama tufanyavyo ya Tazara.
 
CAG Akipita Huko Anakuwa
IMG-20230410-WA0000.jpg
 
Mbona ni kituko, reli tika Dar kwenda Ruvuma ili iweje! Dar kuna bandari na Mtwara ipo bandari tena kubwa, Mtwara ilikuwa na reli, kwanini isijengwe reli ya kwenda ziwa Nyasa ambayo itakuwa na faida kwa Tanzania, Malawi, Zambia na Msumbiji.
Tunaitelekeza reli ya Tazara tunataka mradi mpya tutakaoutelekeza huku reli ya Tanga Arusha hatuiimarishi ili kulinda biashara ya malori yetu kama tufanyavyo ya Tazara.
Ili waunganishe Kusini ifunguke zaidi kuna potential ila usafiri bado haujafika kwa ukamilifu japo kuna lami siku hizi. Reli itasaidia sana kufikisha mzigo wa Malawi, Zambia na Zimbabwe pale ziwa Nyasa tukaongeza tija zaidi Bandari za Bagamoyo na Dar
 
Uchumi gani unaongelea?
Yawezekana hufahamu hata maana ya uchumi lakini unatamka tu uchumi kila siku

Uchumi sio pesa, Kama uchumi ingelikuwa ni pesa basi serikali zingefanya kazi ya kuprint hizo pesa ziwe nyingi mbele za wananchi wake

Je wajua kuna uchumi wa Mtu binafsi?

Je wajua kuna uchumi wa nchi kama nchi?

Mfano Dar es Salaam ni sehemu yenye viwanda vingi sana na vinazalisha sana lakini ukichukua total output ya uzalishaji wa Dar es Salaam ukagawa kwa idadi ya watu chini ya Milioni tano wa Dar es Salaam unaweza ukaona Dar mambo ni mazuri sana kuliko huko Ruvuma Kiuhalisia watu wachache ndio wanaimiliki nguzo kuu za uchumi Dar es Salaam huku wengi wakiishi maisha ya pangu pakavu
Uchumi unafahamu unapimwa kwa vigezo gani?

Unafahamu maana ya Per capital income?

Unafahamu mapungufu ya kipimo cha per capital income

Watanzania wengi wanachambua mambo hata yale wasiyoyajua



Kuna shida kubwa sana kwenye elimu yetu

Kilichonichekesha ni hitimisho lako la mikoa ya kusini ipo nyuma kiuchumi

Je hufahamu report zinaonyesha mikoa ya Kilimanjaro, Arusha ndio kuna Umaskini uliotopea ambao hauwezi kupata sehemu yeyote ile labda Singida,Shinyanga na Dodoma

Hufahamu mkoa wa Mbeya na Kilimanjaro, Mwanza kuna udumavu mkubwa wa akili kwa watoto wadogo

Usiangalie majengo ukafikiria ndio uchumi

Uchumi una maana yake na ni moja ya kitu kigumu sana kukielewa, Wachumi wanakubaliana na kutokukubaliana

Kuna mikoa mikubwa lakini kila mwaka serikali inaingia gharama nje ya budget kuisaidia la sivyo watu na mifugo ingeteketea
Tuliza mshono we mjuaji. Unadhani tupo darasa la uchumi, hapa ni Mtandao wa Kijamii, hizo lecture zako za uchumi fundisha wanafunzi wenzio huko vimbwetani, hapa tunatoa opinions tu.
 
Mbona ni kituko, reli tika Dar kwenda Ruvuma ili iweje! Dar kuna bandari na Mtwara ipo bandari tena kubwa, Mtwara ilikuwa na reli, kwanini isijengwe reli ya kwenda ziwa Nyasa ambayo itakuwa na faida kwa Tanzania, Malawi, Zambia na Msumbiji.
Tunaitelekeza reli ya Tazara tunataka mradi mpya tutakaoutelekeza huku reli ya Tanga Arusha hatuiimarishi ili kulinda biashara ya malori yetu kama tufanyavyo ya Tazara.
Mambo ya kutaka kuanzisha miradi mipya, haya kabla ya ile inayoendelea Kwa kusuasua ni njia nyingine ya kutafuta pesa ya upigaji tu....Tz kaazi kwelikweli.
 
Uchumi gani unaongelea?
Yawezekana hufahamu hata maana ya uchumi lakini unatamka tu uchumi kila siku

Uchumi sio pesa, Kama uchumi ingelikuwa ni pesa basi serikali zingefanya kazi ya kuprint hizo pesa ziwe nyingi mbele za wananchi wake

Je wajua kuna uchumi wa Mtu binafsi?

Je wajua kuna uchumi wa nchi kama nchi?

Mfano Dar es Salaam ni sehemu yenye viwanda vingi sana na vinazalisha sana lakini ukichukua total output ya uzalishaji wa Dar es Salaam ukagawa kwa idadi ya watu chini ya Milioni tano wa Dar es Salaam unaweza ukaona Dar mambo ni mazuri sana kuliko huko Ruvuma Kiuhalisia watu wachache ndio wanaimiliki nguzo kuu za uchumi Dar es Salaam huku wengi wakiishi maisha ya pangu pakavu
Uchumi unafahamu unapimwa kwa vigezo gani?

Unafahamu maana ya Per capital income?

Unafahamu mapungufu ya kipimo cha per capital income

Watanzania wengi wanachambua mambo hata yale wasiyoyajua



Kuna shida kubwa sana kwenye elimu yetu

Kilichonichekesha ni hitimisho lako la mikoa ya kusini ipo nyuma kiuchumi

Je hufahamu report zinaonyesha mikoa ya Kilimanjaro, Arusha ndio kuna Umaskini uliotopea ambao hauwezi kupata sehemu yeyote ile labda Singida,Shinyanga na Dodoma

Hufahamu mkoa wa Mbeya na Kilimanjaro, Mwanza kuna udumavu mkubwa wa akili kwa watoto wadogo

Usiangalie majengo ukafikiria ndio uchumi

Uchumi una maana yake na ni moja ya kitu kigumu sana kukielewa, Wachumi wanakubaliana na kutokukubaliana

Kuna mikoa mikubwa lakini kila mwaka serikali inaingia gharama nje ya budget kuisaidia la sivyo watu na mifugo ingeteketea
Babuuuu Uchumi ni pesa, majumba ni uchumi, reli ni uchumi, real estate ni uchumi, Barabara ni uchumi.
Nani kakwambia Majumba au pesa siyo uchumi? Unaweza Kwenda wapi kama huna pesa??

LOL
 
Back
Top Bottom