Ujenzi wa shule ya sekondari Kikongo, Kibaha Vijijini-Pwani

Ujenzi wa shule ya sekondari Kikongo, Kibaha Vijijini-Pwani

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI KIKONGO, KIBAHA VIJIJINI-PWANI

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani Mhe. Hawa Mchafu akikagua Miundombinu ya Shule ya Sekondari Kikongo iliyopo Wilaya ya Kibaha Vijijini Mkoa wa Pwani ili kujiridhisha na Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) 2020-2025

"Nimejionea hali ya Ujenzi na nimefurahishwa sana kuona fedha alizotoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Kikongo, Kibaha Vijijini-Pwani zimefanya kazi vizuri" - Amesema Mhe. Hawa Mchafu (Mb)

Mhe. Hawa Mchafu
Mbunge Viti Maalum CCM-Pwani
Tarehe 13 Januari 2023

HAKUNA KITAKACHOSIMAMA NDANI YA MKOA WA PWANI
 

Attachments

  • index.jpg
    index.jpg
    139.3 KB · Views: 7
  • indexa.jpg
    indexa.jpg
    135.3 KB · Views: 7
  • indexaqw.jpg
    indexaqw.jpg
    123.9 KB · Views: 7
  • indexsa.jpg
    indexsa.jpg
    148.1 KB · Views: 7
Kibaha inapiga hatua kubwa kwenye suala zima la elimu
 
Back
Top Bottom