marrykate
JF-Expert Member
- Mar 4, 2012
- 733
- 443
Mkuu huo mjengo una sq m ngapi? maana haya mahesabu yako yananikata stimu.
400 mkuu ni shida mi naogopa nahisi ntashidwa njiani sitamaliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huo mjengo una sq m ngapi? maana haya mahesabu yako yananikata stimu.
Hyo BOQ ameanda nan??? Is he qualified one?? If yes, supeevision ya hapo site ipo vp. Fluctuations za cost zinasababishwa na QS mwenyewe au supervision ya site. Kama usimamizi wa site s mzur hapa boq inabaki kuwa makaratasi tyu.
Ktyu kingine n khs used form works
Hz zinaweza ziwe imara au zisiwe imara, hii inadepend na zinavyoonekana kwa macho, arrangement, nafas inayoachwa kutoka bar moja had nyingine, mfano mrunda mmoja had mwingine.
Lkn pia kama zimekatwakatwa hupelekea kuharibu design yako. Mfano marine iliyokatwa sana inmsumbua fundi karika kufill gape zote hivyo inaweza iruhusu zege kupenya ambapo zege likikauka huwa gumu na halitimbiki kirahs
Pia marine zikipata maji zinakuwa haziwezi kushape na kumentain smoothness ya slab yako. Hivyo ish si kutumika mara ngap, ish n zinaonekana vp?
Asante
# marrykate
Hao wajasiriamali wapo wengi sn ss hv.. kunaambao wanakuuzia na wapo ambao wanakodisha..Kwa hakika mahitaji ya formwork na falsework (hizo mbao, mirunda uliyotaja nk) ni moja ya gharama kubwa katika ujenzi wa nyumba za kawaida. Ingesaidia kiasi wakitokea wajasiriamali watakokusanya mbao used sehemu mbalimbali na kuwauzia wajenzi wapya kwa bei nafuu.
Mtafute beaf tanzania , anazo za chuma anakodisha....
Otherwise kwanini usijengee structural insulated panels kwa upande wa ghorofa uliobaki uokoe gharama za ujenzi ?
No concrete slab, no conrete columns and no formwork,.
View attachment 552078View attachment 552080View attachment 552083View attachment 552084View attachment 552085View attachment 552086Boss, imenibidi nijitoe tongotongo juu ya hizo SIPs, nimeangalia nimeona ni mbao mfano wa marine board zimeisandwitch insulator/boya katikati.
Huu ujenzi upo Tanzania.?
Haya material yapo TZ.?
Kuna jengo lolote la mfano uliloona kwa hapa TZ lilojengwa kwa SIPs.?
Vipi durability yake na life span ya nyumba iliyojengwa kwa SIP.?
Kwa nyumba ya kawaida ya square meter 120 ya vyumba vitatu, material yote yanaweza cost kiasi gani.?
Komaa mkuu, mi napanga nikipiga slab tu, naziba kuta, nahamia! Huko juu ntaanza kujikongoja taratibu.400 mkuu ni shida mi naogopa nahisi ntashidwa njiani sitamaliza
iv slab ya vyumba viwil tu juu yaweza kuwa sh ngapKomaa mkuu, mi napanga nikipiga slab tu, naziba kuta, nahamia! Huko juu ntaanza kujikongoja taratibu.
Mkuu Complex , SIPs zilizopo Tanzania niza expanded polystyrene sandwiched in between galvanised wiremesh ( structural element). Materials yapo Tanzania for over seven years... Mifano ya majengo hapo Mengi tuu Tanzania.. 1. Mtwara Praia hotel, kuna jengo pale IST, top floor Ramada resort MBEZI beach, apartments in Oysterbay and many Moooooore....
Efficiency in energy, cost effective, durable (80yrs plus life span), environmental friendliness, high speed of construction are among the advantages of SIPs...
Cc Bukyanagandi
Nimekuja kwenye uzi ila sijapata tariffa za kunisaidia...Nani anaweza kunipa hesabu ya gharama za slab ya 21x17Wana JF,
Lengo la thread hii ni kupeana maarifa ya jinsi ya kupunguza gharama za ujenzi wa SLAB ya ghorofa.
Gharama ya ujenzi wa slab "inatia uchungu" kwa vile inahusisha mahitaji ambayo ni disposable lakini ni ya gharama kubwa. Mahitaji hayo ni support ya kubeba zege (mbao, plywood au iron sheet), mirunda, vyuma na misumali. Gharama hizi zinakadiriwa kuwa asilimia 20 ya materials za slab nzima. Hii si gharam ndogo. Kwa ghorofa moja yenye slab ya mita za mraba 140 inahitajika kama shilingi milioni 3.5 - 4.
Kuhusu Mbao, plywood, iron sheet na mirunda kuna haja ya kubuni mbinu mbalimbali za kupunguza gharama kama ifuatavyo:
1. Tafuta jirani aliye kwenye hatua inayofanana na wewe kwenye ujenzi na ukubaliane naye akuuzie materials zake akimaliza au wewe umuuzie ukimaliza.
2. Ulizia iwapo kuna wakodishaji wa vifaa hivyo. Hakikisha unakubaliana bei na jinsi ya kufidia mbao na mirunda itakayokatwa.
3. Nunua materials mpya na uanzishe biashara ya kuzikodisha baada ya kutumia.
4. Fanya urafiki na watu wenye makampuni ya ujenzi. You can even get these materials FOR FREE!!!
5. Anza kukusanya materials kidogokidogo toka kwa wajenzi wasiohitaji. Kama jirani yako anataka kutupa mrunda muombe akupe, akiweka mbao jalalani chukua. Kama kichaa vile lakini inaweza kusave you a great deal of money.
6. Kuwa mkali kwa fundi asitupe na kupoteza vipisi ambavyo vingeweza kufanya kazi na more importantly "asikosee mahesabu".
7. Nunua vifaa unavyohitaji kwa wingi kwa pamoja katika maduka ya jumla. Ukiamua kufanya hivyo hakikisha una utaratibu salama wa kuvihifadhi.
Njia hizi zinaweza kupunguza gharama za materials hizi "disposable" kwa asilimia 50-90!
Katika thread hii wale wenye biashara za kukodishe mbao, plywood, iron sheer, mirunda, vyumba etc tafadhali wekeni terms za biashara zenu ili kuwapa members picha halisi ya jinsi wanavyoweza kupunguza gharama za ujenzi wa slab.
Iwapo umejenga slab na una materials zilizobaki. Tumia thread hii kuingia deal na wadau ili uwauzie au kuwakodisha.
Kwenye ujenzi tunasema "every shilling is GOOD". Save shilling yako kwa kuuza mbao ambazo zingeliwa na mchwa.
Strength of material hii kama nishawahi Ione kwenge physics enzi zile.Heeee kiongozi ninavyoona ni kama kuna kitu unaelewa afu unataka kuona kama wengine wanajua. Kikubwa ni matumizi kwa sababu kwenye matunzo sitegemei utatumia mbao ya mwaka 2009 now labda treated.....vitu vingine tusifanye siasa na kuleta ujuaji....kimsingi materia zinazotakiwa site ni muhimu kuwa tested sema kwa.bongo ni kama matusi kumwambia mtu atest strengh za material....any way kwa ushauri wa bure mbao ikitumika mara tatu anza kuwa.makini nayo sana kwa sababu za kiusalama zaidi material yoyote hata kama haijatumika sehemu ni muhimu kuwa tested.
Nimekuja kwenye uzi ila sijapata tariffa za kunisaidia...Nani anaweza kunipa hesabu ya gharama za slab ya 21x17
Asante kwa makadirio mujarabuKwa slab tu ya size hiyo andaa Nondo za 12mm ziwe 65 na za 10mm 65.
Mifuko ya Cement andaa around 70.
Kokoto andaa 16CBM
Mchanga Mende moja.
Gharama za Vinega 700k.(kwenye mashine vinega 5 (100,000/=) ,Juu vinega 20(500,000)/= ,Mchine kukodi 100k