Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Hii inaonyesha no jinsi gani kufanya maamuzi ukiwa na hasira unaweza kupata madhara makubwa.......
Tajiri wa tiktok alijaa hasira baada ya manzi yake kubugudhiwa kuingia UWANJANI.....na kudeclare kuanzishwa kwa michango ya kujenga uwanja na hatuoni feedback yeyote
Swali je tumepigwa kitu kizito????
View attachment 2186860
Tajiri wa tiktok alijaa hasira baada ya manzi yake kubugudhiwa kuingia UWANJANI.....na kudeclare kuanzishwa kwa michango ya kujenga uwanja na hatuoni feedback yeyote
Swali je tumepigwa kitu kizito????
View attachment 2186860