But mlisema mtajenga ndan ya muda mfupiHatujapigwa, tunaenda na mipango, ya muda mrfupi na ya muda mrefu. Kwa sasa macho yote CAF CC. Hivi ule uwanja aliougawa Makonda kule Kigamboni, umefikia wapi? Maana walau Simba wanao wa mazoezi
View attachment 2187289
Ila kweli ujenzi wa uwanja umefika wapi mkuu?Acheni gubu bana.
hahahahaha. Hakuna atakaye kujibu,zaidi ya ww kutukanwaTupen feedback mkuu.....tujifunze kwenu