Ujenzi wa Uzio: Seng'enge Vs Ukuta wa matofali

Ujenzi wa Uzio: Seng'enge Vs Ukuta wa matofali

Lakini pia mkiwa na kazi za ujenz mnaweza kunipa kazi maana ninakampuni ya ujenzi
 
Ushauri wowote wa ujenzi mnaweza kuniuliza hapahapa au pm

Mkuu nimependa sana maelezo yako, kwa kuongezea tu, tunatofautiana taste na mfuko ukiwa factor muhimu. Wengi hatuzingatii ushauri wa kitaalam.

Unapatikana wapi kiongozi? Huwezijua huenda siku za usoni nikahitaji ushauri wako.

Shukrani
 
Kampuni yangu inaitwa Tansmart Limited, P.O Box 1183 Dar es salaam.ni building and civil contractors, namba yangu ni 0755678173. but tunafanya kazi sehem yoyote . unaweza pia Ku verify details ya kampuni yangu kwenye website ya bodi ya wakandarasi ambayo ni www.crbtz.org
 
Kampuni wa nu inaitwa Tansmart Limited, P.O Box 1183 Dar es salaam.ni building and civil contractors, namba yangu ni 0755678173. but tunafanya kazi sehem yoyote . unaweza pia Ku verify details ya kampuni yangu kwenye website ya bodi ya wakandarasi ambayo ni www.crbtz.org
Vipi kwa uzoefu wako unahisi kwanini
wakandarasi wengi wa ndani ya nchi hawapewi tender na serikali?
 
Vipi kwa uzoefu wako unahisi kwanini
wakandarasi wengi wa ndani ya nchi hawapewi tender na serikali?
Ni swali pana saana lakini ntajitahidi kufafanua sababu kubwa zinazopelekea wakandarasi wa ndani kutopewa tander za serikali. Nina uzoefu mkubwa katika hili Maana nimefanya kwa consultant, na kwa wakandarasi wakubwa ( class one) na pia nilishafanya NHC kwa miaka kadhaa. Baadae ntajibu hili swali
 
Sababu zinazopelekea kwa wakandarasi wa ndani kukosa tander za ndani zipo nyingi saana, ila ntapenda kuanza na zifuatazo:-
1. Mitaji midogo
2. Masharti makubwa
3. Serikali kutokuwa na Sera za kuwa-empower local contractors
4. Rushwa
5. Urasimu
6. Baadhi ya wakandarasi hawana nidhamu na kazi.

Kila nikipata nafasi ntakuwa nakuja kufafanua moja baada ya nyingine
 
hivi ni sengenge, senyenge au seng`enge na kuna mdau kauliza humu unaweza kufugia kuku sasa napata shida kidogo hii kitu ni nini?
 
Ushauri wowote wa ujenzi mnaweza kuniuliza hapahapa au pm
Tofari za kuchoma na za cement..... hipi ni cost kubwa.... kwa ujenzi haswa wa godown......

Ni kwa haraka haraka kwa ujenzi wa kuunga unga... nahitaji tsh ngap kukamilisha ujenz wa godown lenye ukubwa wa kuingiza semi mbili. Ndani. Zilizokaa mkabala....... na geti nikafunga

Sent from "La -Vista"
 
Tofari za kuchoma na za cement..... hipi ni cost kubwa.... kwa ujenzi haswa wa godown......

Ni kwa haraka haraka kwa ujenzi wa kuunga unga... nahitaji tsh ngap kukamilisha ujenz wa godown lenye ukubwa wa kuingiza semi mbili. Ndani. Zilizokaa mkabala....... na geti nikafunga

Sent from "La -Vista"
Ningekujibu lakini niko busy saana kuna kazi imenibana saana.

Sent from my P5513 using JamiiForums mobile app
 
Spacecing btn nguzo ni mita tatu zenye nondo nne,, ground beam nondo nne za m12 naso


mkuu nimeshuindwa kukusaidia kwenye senyenge sikujua unataka ya quality gani na spacing btn column iwe ngapi

Ngoja nikusaidie kuliweka jedwali vizuri.

Screen Shot 2018-10-10 at 3.16.02 PM.png
 
Back
Top Bottom