Acha kufatilia vitu vya msingi kama hivi kwenye Mtandao au kupiga simu, utapewa majibu mepesi. Mguu kwa mguu mpaka EWURA, wakikwambia nenda TPDC nenda, wakikwambia nenda Wizara ya Nishati nenda tena kwa mguu sio simuNdugu zangu nimekuwa na nia ya kutumia fursa iliyotangazwa na WIZARA YA NISHATI ya ujenzi wa vituo vya mafuta vijijini vya gharama nafuu kupitia EWURA nimeona natakiwa kupata KIBALI kabla ya ujenzi ila nimekosa sehemu nayotakiwa kupata kibali hiki naomba mwenye ujuzi na hili anielekeze maana hata kwenye WEBSITE ya EWURA sjaliona hili msaada tafadhali.
Ulipata kibali. Kama hukupata tutafute boss.Ndugu zangu nimekuwa na nia ya kutumia fursa iliyotangazwa na WIZARA YA NISHATI ya ujenzi wa vituo vya mafuta vijijini vya gharama nafuu kupitia EWURA nimeona natakiwa kupata KIBALI kabla ya ujenzi ila nimekosa sehemu nayotakiwa kupata kibali hiki naomba mwenye ujuzi na hili anielekeze maana hata kwenye WEBSITE ya EWURA sjaliona hili msaada tafadhali.
Muwe mnaangalia na last seen za ID. mtu ana mwaka haonekani humu unataka akutafute😅😅😅Ulipata kibali. Kama hukupata tutafute boss.
Ni kweli bossMuwe mnaangalia na last seen za ID. mtu ana mwaka haonekani humu unataka akutafute😅😅😅