Ujenzi wa whatsup umlimgharimu

Ujenzi wa whatsup umlimgharimu

Hii imetokea kwa jrani wa jrani yangu huko mbopo madale. Jamaa wameanza jenga msingi hakuna nafasi jirani akawastua hivi shimo la maji machafu mtaliweka wapi. Ujenzi ukaishia japo kwenye msingi
Hiv watu kwann huwa wanakosa utu na fedha ya mtu tena aliye ndugu yako na kaonyesha kukuamini???

Hapo usikute jamaa katuma oesa anunuliwe kiwanjankikubwa wao wamenunua tu mita 20 x 20.
Mimi siwez jenga kwenye kijaruba cha kulima mchicha kama hicho cha 20x20.
Better kukaa nje ya mji ukanunu ekari mzima au zaid then tia mjengo hapo
 
Hiv watu kwann huwa wanakosa utu na fedha ya mtu tena aliye ndugu yako na kaonyesha kukuamini???

Hapo usikute jamaa katuma oesa anunuliwe kiwanjankikubwa wao wamenunua tu mita 20 x 20.
Mimi siwez jenga kwenye kijaruba cha kulima mchicha kama hicho cha 20x20.
Better kukaa nje ya mji ukanunu ekari mzima au zaid then tia mjengo hapo
Acha tu mkuu. Nyumba za kusimamiwa na ndugu ama utatumia gharama mara 3 au hata nyumba yenyewe itakuwa kama kibanda
 
Kuna jamaa, tena ni afisa wa serikali alijenga ramani ikaatamia kiwanja chore, alilazimika kununua 1.5m X 30m sawa na bei aliyonunulia uwanja ili angalau aweke uzio.
Na jamaa alinunua kiwanja mwenyewe, anatafuta ramani mwenyewe, na akawepo wakati wa ujenzi
 
Sky upo kwenye tasnia ya ujenzi nadhani, mara kadhaa umekuwa unaweka nyuzi za ushauri juu ya ujenzi.
Tunajifunza vingi kwako kwenye ujenzi.

Huyo madam ana uelewa wa mambo mengi. Hata kwenye tasnia ya afya yuko full nondo. Anaonekana ni mtu mwenye exposure kubwa kimataifa nadhani.

-Kaveli-
 
Kuna jamaa, tena ni afisa wa serikali alijenga ramani ikaatamia kiwanja chore, alilazimika kununua 1.5m X 30m sawa na bei aliyonunulia uwanja ili angalau aweke uzio.
Na jamaa alinunua kiwanja mwenyewe, anatafuta ramani mwenyewe, na akawepo wakati wa ujenzi
Ninavyoelewa ukishaona kiwanja unaanza kufikiria nyumba itatazama upande gani. Başda ya hapo unawaza sehemu ya shimo la maji machafu, sehemu ya kuanikia nguo na ikiwezekana shimo la maji safi ya mvua (kama unaweza si lazima).
 
Huyu bwana akiwa huko aliko aliamua kujenga nyumbani. Aliomba ndugu ammtafutie kiwanja na kufanya inanla ya pesa. Baada ya malipo kukamilika hata mimi ninashangaa kuwa hakuona ukubwa wa kiwanja katika karatasi ya mauziano. Alanza kuşkulular na kibali cha ujenzi na kutuma pesa za ujenzi.

Alifika nyumba ikiwa kwenye linter na hakuna nafasi ya kuchimba shimo la maji machafu. Huyu ndugu yake aliyesimamia jengo aliacha nafasi ya parking tu mbele ya nyumba. Ilibidi ambembeleze jirani kumuuzia eneo lake. Ujenzi wa whatsup Una madhara na hasara.
Ulipotea Sana. Welcome back
 
Rafiki yangu Yuko abroad , nilimsaidia kupata kiwanja 1 Heka , nikamfanyia michakato ya fundi mwaminifu , nilimpambania nyumba yake ikasimama ya vyumba vitano vyote ni master 6mx6m , big lounge, open kitchen, library room ilikamilika within 3 month now anajipanga tena akamilishe finishing , uwa najalibu natafakari ndugu anaye mcon dunguyake huwa sielewi kabisa watu uwa Wana roho Gani ya unyama. Ndugu zetu marafiki zetu mtu anavyoaso uko abroad ad unamhurumia coz no time to rest alafu anakuja kufanyiwa vitu vya ushenzi uwa inaumiza ndo maana wengi uwa wanakata mawasiliano Kwa vitu kama hivi.
 
Bado sijaona shida hapo,anaweza kujenga hilo shimo hapo parking,lina flash usawa wa ardhi,anatumia London 16mm na linakuwa na beam kama msalamba.
Wakati wa kupanga paver ,eneo lenye mfuniko wa shimo zinapangwa za rangi tofauti.kesi imeisha .
Nimeshafanya hivyo na magari yanapark mwaka wa 4 huu na hakuna mtu anajua kama kuna shimo hapo
 
Back
Top Bottom