Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nao wamegoma kuchanjwa? Huu ugonjwa ni wa kimagumashi kichizi, uko kibiashara sanaUjerumani ndiyo ilikuwa nchi ya kwanza kuchanja raia wake wote na busta juu.
Inakuwaje tena inaongoza kwa maambukizi ya virusi vya corona hadi kufikia watu elfu 50 kwa siku?
Usilolijua litakusumbua sana!!Ujerumani ndiyo ilikuwa nchi ya kwanza kuchanja raia wake wote na busta juu.
Inakuwaje tena inaongoza kwa maambukizi ya virusi vya corona hadi kufikia watu elfu 50 kwa siku?
Wajinga ndio mnawaza ujinga wenu.Alikuwa ni zaidi ya kiongozi
Aiseeee, na wewe unaweza kuandika opportunity costWajinga ndio mnawaza ujinga wenu.
Kinachoiokoa Afrika na corona ni lockdown za wazungu maana ugonjwa ukianza kwao wanazuia safari za kuingia na kutoka Mataifa yao na mengine hivyo kufanya Afrika ugonjwa usije.
Hebu nieleweshe; hizo chanjo walizochanjwa zinatoa kinga ya kudumu maana kwa hali hii inafikirisha sana.... (Seems There're More Questions than Answers)Ujerumani ndiyo ilikuwa nchi ya kwanza kuchanja raia wake wote na busta juu.
Inakuwaje tena inaongoza kwa maambukizi ya virusi vya corona hadi kufikia watu elfu 50 kwa siku?