N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
● Ujerumani itapiga marufuku watu ambao hawajachanjwa kupata huduma madukani na baa, isipokuwa kama wamepona hivi karibuni kutoka kwa Covid
● Kansela Angela Merkel anasema agizo la chanjo ya nchi nzima linaweza kuwekwa nchini Ujerumani kuanzia Februari 2022.
● Serikali ya Uingereza inatia saini mikataba ya kununua dozi milioni 114 zaidi za chanjo ya Pfizer na Moderna ili kutumia mnamo 2022 na 2023.
Hizi updates zitakwambia kwamba COVID is here to stay kama ilivyo kwa NGOMA / HIV
● Kansela Angela Merkel anasema agizo la chanjo ya nchi nzima linaweza kuwekwa nchini Ujerumani kuanzia Februari 2022.
● Serikali ya Uingereza inatia saini mikataba ya kununua dozi milioni 114 zaidi za chanjo ya Pfizer na Moderna ili kutumia mnamo 2022 na 2023.
Hizi updates zitakwambia kwamba COVID is here to stay kama ilivyo kwa NGOMA / HIV