Ujerumani kusafirisha mikusanyiko 23 ya sanaa kwenda Namibia

Ujerumani kusafirisha mikusanyiko 23 ya sanaa kwenda Namibia

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Huko Berlin, mji mkuu wa Ujerumani, mkuu wa Wakfu wa Urithi wa Prussian Bw. Hermann Parzinger, na Esther Moombolah wa Makumbusho ya Kitaifa ya Namibia walionyesha sehemu ya mkusanyiko wa sanaa za Namibia kutoka Jumba la Makumbusho la Berlin, 23 kati yao itasafirishwa kwenda Namibia.

VCG111384010666.jpg

VCG111384010825.jpg
 
Hongera Namibia kwa kufanikiwa lobbying mpaka mali yenu inarudi.
 
Back
Top Bottom