Ujerumani: Munster ni mji wenye basikeli mara mbili ya idadi ya wakazi

Ujerumani: Munster ni mji wenye basikeli mara mbili ya idadi ya wakazi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Munster ni mji ulioko Magharibi mwa Ujerumani, ni mji unaofahamika kwa kubeba majengo ya kihistoria una idadi kubwa ya baiskeli ambayo ni mara mbili zaidi ya ile ya wakazi

Kutokana na wingi wa baiskeli kumetengwa maeneo ya maegesho ya baiskeli katika maeneo mbalimbali. Kama haumiliki baiskeli katika mji huu watakushangaa

Inasemekana watu wanamiliki baiskeli zaidi baada ya kuitikia wito wa kutunza mazingira, kwani magari na vifaa vingine vya moto hutoa gesi ambazo ni hatari kwa mazingira

 
Munster ni mji ulioko Magharibi mwa Ujerumani, ni mji unaofahamika kwa kubeba majengo ya kihistoria una idadi kubwa ya baiskeli ambayo ni mara mbili zaidi ya ile ya wakazi

Kutokana na wingi wa baiskeli kumetengwa maeneo ya maegesho ya baiskeli katika maeneo mbalimbali. Kama haumiliki baiskeli katika mji huu watakushangaa

Inasemekana watu wanamiliki baiskeli zaidi baada ya kuitikia wito wa kutunza mazingira, kwani magari na vifaa vingine vya moto hutoa gesi ambazo ni hatari kwa mazingira

View attachment 1423348
Wenzetu wanaijali sana kesho yao kuliko sisi waafrika.

Kwetu mtu akimiliki pikipiki tu anatelekeza baiskeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Munster ni mji ulioko Magharibi mwa Ujerumani, ni mji unaofahamika kwa kubeba majengo ya kihistoria una idadi kubwa ya baiskeli ambayo ni mara mbili zaidi ya ile ya wakazi

Kutokana na wingi wa baiskeli kumetengwa maeneo ya maegesho ya baiskeli katika maeneo mbalimbali. Kama haumiliki baiskeli katika mji huu watakushangaa

Inasemekana watu wanamiliki baiskeli zaidi baada ya kuitikia wito wa kutunza mazingira, kwani magari na vifaa vingine vya moto hutoa gesi ambazo ni hatari kwa mazingira

View attachment 1423348
😁😁😁😁 mi nilijuwa ni tanga tu ndio kuna baiskeli nyingi zaidi,
 
Back
Top Bottom