Ujerumani nayo imeidanganya Ukraine kuahidi kupeleka vifaru vibovu

Ujerumani nayo imeidanganya Ukraine kuahidi kupeleka vifaru vibovu

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kila leo Ukraine inazidi kukandamizwa na marafiki zake.Ujerumani hapo mwanzoni mwa vita tarehe 24 Februari ilisema itaisaidia Ukraine kisilaha kwa kuipa vifaru vyake aina ya Gepard .

Vifaru hivyo baada ya kusubiriwa muda mrefu bila kuwasili Kyiv hatimae imedhihirika kuwa vifaru hivyo havikuwa na makombora yake na kampuni iliyokuwa ikitengeneza imesema ikipata pesa itatengeneza makombora hayo ili yawe tayari mwezi Julai.

Kauli hiyo imemuudhi sana mbunge wa Ukraine, Anastasia Radina na kusema maneno hayo ya Ujerumani ni kama kumwambia mama aliyejifungua mtoto na hana maziwa asubiri mpaka miezi mitatu ndipo amnyonyeshe mwanawe.

1653498399704.png
 
Dalili ya kutokuwa na Nia ilionekana pale walipopeleka element ndio msaada Tena zilikuwa za ujenzi[emoji1787]zele anadangaanywa Kama mtoto kwa sababu wamegundua hajitambui anasikiliza kuliko kuamini ya kwake.
Mkuu "element" ndio nini kwenye hii post?
 
The comedian Alida ganywa akadanganyika, mabeberu wa ulaya na marekani wamesha jaribu silaha zao kwenye uwanja wa mapambano, Sasa wanaotarajia kurudi mezani kufanya tathimini upya,huku aliyekubali kutumika kama uwanja wa majaribio akihaha huku akipambana na Hali yake 🚶
 
Back
Top Bottom