Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
CCM NI MAJAMBAZISisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.
Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.
View attachment 3247558
Wanapiga kura ki digital hata hayo masaa nane mengi mnoHii ni ya kuigwa kweli kweli!
Matokeo yote ya udiwani,ubunge na uraisi hubandikwa kila kituo hapo hapoSio jambo gumu sana kama CCM watakubali matokeo yote yatangaziwe katika vituo vya kupigia kura kazi ya tume iwe kujumlisha tu, tatizo huwa linaanza kura zinapigwa sehemu moja halafu box zinabebwa ili kura kwenda kuhesabiwa sehemu nyingine.
Hujui chochote wewe kilaza, matokeo ya Urais huwa hayabandikiwi kituoni.Matokeo yote ya udiwani,ubunge na uraisi hubandikwa kila kituo hapo hapo
Chadema utasikia tumeibiwa kura ukiwauliza kituo kipi wakati mna mawakala wenu tajeni kituo wanabaki tu kuongea kama wehu ohhh tumeibiwa
Ushahidi wa kura zote huwa vituo vya kupigia kura Tume inachofanya kabla kutangaza ni kujumlisha tu kura kutoka vituoni nchi nzima
Tume ipi hiyo itangaze ndani ya siku moja? Ile ile ya maagizo?Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.
Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.
View attachment 3247558
Ila kwa dunia ya sasa inawezekan pia , matumiz ya teknologi yakizngatiwa kam vtuo vya wapga kura vtafungwa saa 12 na kila kituo kikatuma taarfa kwenye system na system zikajumlsha na ku display mshind its within 30/60min mambo laivuNyie hata kuiba kura hadi mtumie week nzima. Bure kabisa ccm na tume yenu
unajibizana na mtoto Grn Z ambaye hajui lolote, Hawa watoto wanapata General study Aila hawajui hata muuda wa tume wala utangazaji wa matokeao.Hujui chochote wewe kilaza, matokeo ya Urais huwa hayabandikiwi kituoni.
Unajua kwa nini mpaka leo NEC hawajawahi kuchapisha na kuweka mtandaoni matokeo ya urais ya mwaka 2020??
Unajua kwa nini serikali ilikisambaratisha kituo cha CHADEMA cha kufanya tallying ya kura za Lowassa mwaka 2015??
Tume yetu huru inawazidi wajerumani, tena kwa mbali sana.Hiyo hiyo. Kwa tume yetu haina akili kama tume ya Wajerumani?
Hizi za dijitali ambapo simu ziko kila mahali unahitaji miondombinu gani kutoa matoke ya uchaguzi ndani ya siku moja?? Mkiacha kubeba box za kura kwenda kuhesabia mafichoni badala yake kura zote zihesabiwe kituoni inawezekana kutangaza matokeo kwa haraka kama Ujerumani au Brazil.
Pamoja na Tech,lakini hawana mizengwe wapo kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wao hivyo hawalazimishi kuwepo madarakani.Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.
Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.
View attachment 3247558
Amepelekwa wapi huyu?
Kuna kazi inafanywa muda huu na awamu ya Samia, na hiyo ndio tiketi itakayomrudisha ikulu baada ya uchaguzi wa 2025, haya mengine ni malalamiko ya miaka yote.Kuhesabu kura na kutoa matoke muda mfupi haitegemeani na maendeleo ya nchi. Teknolojia zipo na nchi yetu inamudu vizuri kuzinunua.
Kama Mozambique, Malawi wanaweza sisi tunashindwa nini?
Walimtumbua huyu baada ya hii video kutoka ila itakuwa anaendelea kufanya majukumu mengi ya kuratibu wizi mwingine 2025 saa hizi akicheza lowkey bila kuonekana sana kwenye media.Amepelekwa wapi huyu?
Kuhalalisha haramu ni kazi ngumu sana!Matokeo yote ya udiwani,ubunge na uraisi hubandikwa kila kituo hapo hapo
Chadema utasikia tumeibiwa kura ukiwauliza kituo kipi wakati mna mawakala wenu tajeni kituo wanabaki tu kuongea kama wehu ohhh tumeibiwa
Ushahidi wa kura zote huwa vituo vya kupigia kura Tume inachofanya kabla kutangaza ni kujumlisha tu kura kutoka vituoni nchi nzima