Ujerumani yaifunga Hungary 2-0 na kufuzu hatua ya 16 bora

Ujerumani yaifunga Hungary 2-0 na kufuzu hatua ya 16 bora

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Mabao ya Jamal Musiala dakika ya 22 na Ilkay Gundogan dakika ya 67 yametosha kuipa alama 3 Ujerumani mbele ya Hungary kwa mabao 2-0.

Ujerumani imefikisha alama 6 baada ya michezo miwili na imekuwa timu ya kwanza kufuzu hatua ya 16 bora.
IMG_1923.jpeg
 
Back
Top Bottom