Ujinga ni nini?

Jenseny

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2011
Posts
1,743
Reaction score
1,738
Ujinga ni kuchukia unapofumania wakati we mwenyewe una michepuko ya kushato!

Ujinga ni kushabikia waliokunyima ajira waendelee kukunyima

Ujinga ni kupanga foleni ya NIDA na hujajaza hata ile form ya kukutambulisha

Ujinga upo mwingi ila wewe unahisi ujinga ni nn?
 
Mkuu uliishia wapi na kilimo cha matikiti maji?

Mbona ulisema utaleta mrejesho afu kimya?

Ulisema umeacha kazi serikalini, vipi life la ajira na la mtaani utofauti wake umeonaje?
 
Mrejesho si ndio huu yani kukacha ajiri kwenda kulima tikiti[emoji3]
 
Mrejesho si ndio huu yani kukacha ajiri kwenda kulima tikiti[emoji3]
sikuacha ajira kwenda kulima tikiti nimeacha ajira nimejiajiri nafanya biashara spares za pkpk nasafirisha samaki na nalima pia nw nalima kitunguu
 
Mkuu uliishia wapi na kilimo cha matikiti maji?

Mbona ulisema utaleta mrejesho afu kimya?

Ulisema umeacha kazi serikalini, vipi life la ajira na la mtaani utofauti wake umeonaje?
nalima kitunguu boss na nafanya biashara bado week hii ntakua free ntaleta mrejesho
 
sikuacha ajira kwenda kulima tikiti nimeacha ajira nimejiajiri nafanya biashara spares za pkpk nasafirisha samaki na nalima pia nw nalima kitunguu
Hongera sana mkuu kwa kuthubutu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…